Wanaume wanataka nini?

Wanaume wanataka nini?

...yaliyokukuta hayatabiriki,ila tatizo ni dogo tu unaolewa na kijiji ndo maana unakutana na interest tofauti,pili unadandia wanaume wasiowako ndo maana hammechi
 
Tatizo mnakimbilia ma-play boys, kisa wanafanya kila kitu hata visivyostahili....!? Njoo kwangu upate pumziko la moyo mama.

Hahahahah....mkuu umenichekesha sana eti wanafanya hata visivyostahili
 
Tatizo Khantwe huwezi kutufanyia mambo kama hayo sisi players "WE'LL ALWAYS BE SINGLE TO MAKE MANY GIRLS HAPPY!
 
Last edited by a moderator:
Kuna kamsemo humu JF miaka kama mitatu iliyopita kalikua kanasema "Ukiona manyoya ujue, keshaliwa huyo", sijui kaliishia wapi??

Hahahah unaweza kuona manyoya kama ya kuku kumbe aliyeliwa ni kanga mkuu...
 
Unarud sangap my king maana naskia bard kweli leo

nipe dakika 10 mama nakuchomea kuku wa kienyeji sehemu,vaa hilo koti langu la harusi kwa mda huu mama ,kuna kitu unahitaji??
 
...yaliyokukuta hayatabiriki,ila tatizo ni dogo tu unaolewa na kijiji ndo maana unakutana na interest tofauti,pili unadandia wanaume wasiowako ndo maana hammechi

Unamaanisha nini kusema naolewa na kijiji mkuu...
 
Lengo linakuwa kwaajili ya wawili na unapofanya unategemea na upande wa pili uwe na shukrani. Not only that....wakati mwingine unaweza ku-ignore feelings zako na kumpa kipaumbele mwenzio ukitegemea utarudishiwa shukrani. Matokeo ikiwa viceversa maumivu yake si madogo

Umewahi kuumizwa kwa namna hiyo?
 
all men without exception want a lady. kama hujui lady ana qualities gani basi ur mama didnt do her job
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom