Wanaume wanaotoka nje ya ndoa

Wanaume wanaotoka nje ya ndoa

Khaaaaaaaaaaaaaaaaa!!

vipi wewe hujapewa kabaang na mke wa mtu?
Changamka wewe au pandisha dau halafu huwa unawamic wangap humu?
Nahic kuna wengine unawadanganya humu haiwezekani wewe uwamic wanawake/wamama/vibint vya humu?
Sijawahi kukuckia ukimwambia watu8 umemmic
 
Last edited by a moderator:
Khaaaaaaaaaaaaaaa!! Ushanifanya basha???

Haya salamu zako zilipitia posta au TTCL?
na wewe unataka kusema nilitakiwa kusema mehujumiwa na mke wa mtu!kwani mi nimekuwa mliberali!
salamu zako zilipitia kwa njia ya dekoda!
kwanza ngoja nilianzishe timbwili kwenye hiyo chaneli!
 
vipi wewe hujapewa kabaang na mke wa mtu?
Changamka wewe au pandisha dau halafu huwa unawamic wangap humu?
Nahic kuna wengine unawadanganya humu haiwezekani wewe uwamic wanawake/wamama/vibint vya humu?
Sijawahi kukuckia ukimwambia watu8 umemmic
Duh! Ngoja nisepe.........!!
 
vipi wewe hujapewa kabaang na mke wa mtu?
Changamka wewe au pandisha dau halafu huwa unawamic wangap humu?
Nahic kuna wengine unawadanganya humu haiwezekani wewe uwamic wanawake/wamama/vibint vya humu?
Sijawahi kukuckia ukimwambia watu8 umemmic
ahahahhahahhaha mtani njoo!
kuna binti anataka umisiwe na Asprin huku!
 
Last edited by a moderator:
Na wewe nahisi umenimiss kijanja...haya hebu kamu zis wei unisaidie kutandika kitanda!!

vipi wewe hujapewa kabaang na mke wa mtu?
Changamka wewe au pandisha dau halafu huwa unawamic wangap humu?
Nahic kuna wengine unawadanganya humu haiwezekani wewe uwamic wanawake/wamama/vibint vya humu?
Sijawahi kukuckia ukimwambia watu8 umemmic
 
Last edited by a moderator:
Hii dunia yenu hii....khaaaaaaaaaaaaaaaaaaa....lol!!

Mambo mengi tulifundishwa kufa nayo kifuani ila nyie siku hizi ndiyo mnayaanika sokoni....

Sitashangaa mtu hata akipitwa na pumzi ya mlango mkubwa atakuja kutusimulia....

Mie naona bora kuyanyamazia haya mavitu...

Babu DC!!
 
Hahahah...haya fumbua macho uone haka kabinti kanavyohangaika kuweka mandhari ya kitanda sawa sawia...sasa hivi ndio nashushiwa net hapa...

ahahahhahahahhahahhaahha mtaniiii!
mi nimeshalala wala hata sijaiona hii!
 
Hii dunia yenu hii....khaaaaaaaaaaaaaaaaaaa....lol!!

Mambo mengi tulifundishwa kufa nayo kifuani ila nyie siku hizi ndiyo mnayaanika sokoni....

Sitashangaa mtu hata akipitwa na pumzi ya mlango mkubwa atakuja kutusimulia....

Mie naona bora kuyanyamazia haya mavitu...

Babu DC!!

bora uwaambie babu dc wanajivua nguo tu na ndoa zao.
 
Nashukuru ndani ya Ndoa Miaka 3 sasa sijamsaliti mke wangu....Mungu aniepushe na walaghai

wewe utakuwa upo German na hujaja bongo.
Siku ukija bongo kitu cha kwanza utafanya hiko.
Btn kutoka nje ya ndoa hulaghaiwi tamaa zako mwenyewe
 
Yaani awe wangu peke yangu? Hata sumu ya panya unaweza kushare na jirani. As long as share yako inakutosha, why bother about the rest? Kwanza ndo kaulimbiu ya siku ya mazingira duniani! Unakula huku unawaza
ahahhahahhahahhahaha hiv bhange zinachanganywa na uongo antidote ziku hiz enh!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom