1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 10,137
- 14,234
Poa mkuu tumekuelewaSASA WEWE MJINGA NAKWAMBIA HIVI,
HUYU WA SASA HIVI ND'O NAOA KABISA ILI IKUUME VIZURI,
WEWE NILIKUACHA UENDE KWA SABABU KICHWANI HAUNA AKILI.
ENDELEA KUDANGA NA UTAZEEKA HIVYOHIVYO!!!
(Wakuu,
Msishangae sana, mimi nd'o jamaa mwenyewe,
Na amekuja kufungua uzi huku akijua kuwa nitauona kwa kuwa huwa napita huku).
"ILA MAISHA LAZIMA YAENDELEE."
Defence Mechanism.[emoji1787][emoji1787]Wewe mimi siumii cuz mimi ndio nimemuacha halafu baada ya kumuacha kani block kote kote. Sasa hapa anaeumia nani kama sio yeye. Girl wake mpya sijamchunguza nimetumiwa picha na mtu tu
Utakuwa hujui maana ya mwanaume.Wanaume sijui wako vipi mtu umeachwa basi utafute girl mzuri kumshinda x wako hata akimuona aanze kukuonea wivu. Kama huyu kaka mpaka anatia huruma nimemuacha miezi mitatu bado amepata girlfriend mpya, kajitu chenyewe kabaya hata hakistui sijui ame muokotea wapi masikini ya Mungu [emoji23][emoji23] halafu kuna watu wengine sijui wakoje wanajua mmeachana bado anaku whatsapp umemuona x wako na girlfriend wake mpya? Eeeee sasa mimi nifanya je nikimuona [emoji23][emoji23] kajitu kenyewe hata robo hakini fikiii [emoji28] halafu nimemuacha mwenyewe angeniacha yeye kweli ningeumia [emoji6]
Wanaume sijui wako vipi mtu umeachwa basi utafute girl mzuri kumshinda x wako hata akimuona aanze kukuonea wivu. Kama huyu kaka mpaka anatia huruma nimemuacha miezi mitatu bado amepata girlfriend mpya, kajitu chenyewe kabaya hata hakistui sijui ame muokotea wapi masikini ya Mungu 😂😂 halafu kuna watu wengine sijui wakoje wanajua mmeachana bado anaku whatsapp umemuona x wako na girlfriend wake mpya? Eeeee sasa mimi nifanya je nikimuona 😂😂 kajitu kenyewe hata robo hakini fikiii 😅 halafu nimemuacha mwenyewe angeniacha yeye kweli ningeumia 😉
Ni swala la muda tu, kwa kuwa alishakutafuna basi kuna siku haijulikani atapasha kiporo.Wanaume sijui wako vipi mtu umeachwa basi utafute girl mzuri kumshinda x wako hata akimuona aanze kukuonea wivu. Kama huyu kaka mpaka anatia huruma nimemuacha miezi mitatu bado amepata girlfriend mpya, kajitu chenyewe kabaya hata hakistui sijui ame muokotea wapi masikini ya Mungu [emoji23][emoji23] halafu kuna watu wengine sijui wakoje wanajua mmeachana bado anaku whatsapp umemuona x wako na girlfriend wake mpya? Eeeee sasa mimi nifanya je nikimuona [emoji23][emoji23] kajitu kenyewe hata robo hakini fikiii [emoji28] halafu nimemuacha mwenyewe angeniacha yeye kweli ningeumia [emoji6]
Kwa nini umgredi mwanamke mwenzio?Mimi naumia vipi wakati nimetulia zangu naendelea na maisha yangu. Yeye ndio anaeumia ujue kwenye relationship mkiachana yule anaejifanya ku move on haraka ndio aliyeumia sana. Masikini katafuta kajitu kabaya ili kuonyesha watu ame move on haha huku moyoni anauamia
bro uko vizuri.. umetambaa mulemule.Utakuwa hujui maana ya mwanaume.
Yani achague mtu wake kwa kukulinganisha na wewe?
Ukumbuke na uiweke akilini kwamba mwanaume huwa haachwi ila anatengeneza mazingira ili umuache wewe aepukane na lawama za kuwa alikupotezea muda.
Najua hata wewe ulimpenda na ndio maana unamuwaza na alilijua hilo, lakini pamoja na hilo ulikosa sifa za kuendelea naye lakini ametafuta njia rahisi ya kukupunguzia maumivu kwa kukupa ushindi feki
Ebu nitupie ka picha chako PM au nipe user name yako fb nikuthaminishe Kama we ni cute as u say soWanaume sijui wako vipi mtu umeachwa basi utafute girl mzuri kumshinda x wako hata akimuona aanze kukuonea wivu. Kama huyu kaka mpaka anatia huruma nimemuacha miezi mitatu bado amepata girlfriend mpya, kajitu chenyewe kabaya hata hakistui sijui ame muokotea wapi masikini ya Mungu [emoji23][emoji23] halafu kuna watu wengine sijui wakoje wanajua mmeachana bado anaku whatsapp umemuona x wako na girlfriend wake mpya? Eeeee sasa mimi nifanya je nikimuona [emoji23][emoji23] kajitu kenyewe hata robo hakini fikiii [emoji28] halafu nimemuacha mwenyewe angeniacha yeye kweli ningeumia [emoji6]
Ishi afu mbona ubajichanganya maelezo yako dada mala katutumia picha ya Dem wake , mal ameku block which is which!Wewe mimi siumii cuz mimi ndio nimemuacha halafu baada ya kumuacha kani block kote kote. Sasa hapa anaeumia nani kama sio yeye. Girl wake mpya sijamchunguza nimetumiwa picha na mtu tu
Ebu sema the reason why ulimwacha mchizi?Asante sana dada, leo umeniwakilsha vyema...
Tuanzie hapoInaonekana wewe ndio unateseka maana hadi umemjua gf wake mpya ukamchunguza ukaona ni mbaya, uzuri wa mtu uko machoni mwa anayemtazama. Just move on girl
Sent using Jamii Forums mobile app
Mhh jamani labda mi nitakua mgeni kwenye Aya mambo pamoja na u technician wangu,Alini text nikataka kujibu nakuta haziendi nikajuwa tu ameni block
Na ku quote Kuna sehemu amejibu kajamaa chenyewe kua akana mbele Wala nyuma kua mchizi ajielewi"kwa age yangu hakuna kupotezeana muda na weza sema ni experience halafu we were madly in love sasa unaanzaje kusema kupoteza muda hata kama mapenzi yameisha siwezi kusema ni kupoteza muda hata kama tumeachana kuna vitu nme learn kwa hii relationship
Yupi mkuu...!!??[emoji20][emoji19]Ebu sema the reason why ulimwacha mchizi?
Acha apewe stahiki yake[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] watu mnavisa mpeni hata pole kidogo basi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni Bonge la ujumbe kama ana akili atauchukua na kuufanyia kaziKwa hili bandiko inaonekana sura yako ndio umeigeuza maslahi kwenye mahusiano kuliko tabia njema. Sasa we endelea na akili hio utaachwa mpaka ujione una mikosi.
Halafu kimsingi ulijua ukiachwa jamaa ata struggle kupata mpenzi mpya ili nafsi yako isuuzike matokeo yake kashapata goma mapema tu...we kaa kwa kutulia regardless mpenzi wake ni mzuri au mbaya kwa mtazamo wako alimradi ana sifa zote za kuitwa mwanamke we haikuhusu acha kuteseka. Ulibipu jamaa kapiga we lala zako mbele sasa uone kama kupata mwanaume mwenye akili ni rahisi.
Wanaume sijui wako vipi mtu umeachwa basi utafute girl mzuri kumshinda x wako hata akimuona aanze kukuonea wivu. Kama huyu kaka mpaka anatia huruma nimemuacha miezi mitatu bado amepata girlfriend mpya, kajitu chenyewe kabaya hata hakistui sijui ame muokotea wapi masikini ya Mungu [emoji23][emoji23] halafu kuna watu wengine sijui wakoje wanajua mmeachana bado anaku whatsapp umemuona x wako na girlfriend wake mpya? Eeeee sasa mimi nifanya je nikimuona [emoji23][emoji23] kajitu kenyewe hata robo hakini fikiii [emoji28] halafu nimemuacha mwenyewe angeniacha yeye kweli ningeumia [emoji6]