Pole zako dadaaa. Kweli umeumia sana na labda aliyekufanya umwache sasa kakusubirisha kwenye waiting list. Ulipotaka kuyarudia matapishi ukakuta umewahiwa seat. Dah! Ka hodi ulikuwa hujalipiwa kumbuka hii ni April, mwanzo wa mkataba mpya!!!! Kweli vidume vingine balaa kabisa. Unamfanya dem anakurupuka kutishia nyau mzee wa kodi ya pango kabla hujamuweka sawa. Sasa utaaibika mwezi huu huu April. Kumbuka this was April Fool's month.Wewe mimi siumii cuz mimi ndio nimemuacha halafu baada ya kumuacha kani block kote kote. Sasa hapa anaeumia nani kama sio yeye. Girl wake mpya sijamchunguza nimetumiwa picha na mtu tu
Limjamaa likaku block kote kote dah! Limjamaa libaya hiloooo. Utalia kilio cha mbwa koko this year 2019.

halafu nimemuacha mwenyewe angeniacha yeye kweli ningeumia
