king's lawyer
JF-Expert Member
- May 4, 2015
- 408
- 357
Hivi inapata wapi guts za kumwita mwenzio mbaya?Mimi naumia vipi wakati nimetulia zangu naendelea na maisha yangu. Yeye ndio anaeumia ujue kwenye relationship mkiachana yule anaejifanya ku move on haraka ndio aliyeumia sana. Masikini katafuta kajitu kabaya ili kuonyesha watu ame move on haha huku moyoni anauamia
alitaka kusikia nitaseaje ili akayapeleke na mimi hata sikumijibu hahaWatu pambe hao waliokutumia picha, wagombanishi wanataka kujua utasemaje
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa age yangu hakuna kupotezeana muda na weza sema ni experience halafu we were madly in love sasa unaanzaje kusema kupoteza muda hata kama mapenzi yameisha siwezi kusema ni kupoteza muda hata kama tumeachana kuna vitu nme learn kwa hii relationship
Babe, naomba ulaleHapo sasa ndio umeanza kuingia online.....
Ebu cheki pm yangu hapo uone kama unaweza nifanyia wepesi kwasababu saizi upo singo tagmfadhali....
Huu uzi wako ni wa kipuuzi puuzi kbs kaweke Fb hauna hadhi ya kuwemo humu unajaza uchafu tuuu humuWanaume sijui wako vipi mtu umeachwa basi utafute girl mzuri kumshinda x wako hata akimuona aanze kukuonea wivu. Kama huyu kaka mpaka anatia huruma nimemuacha miezi mitatu bado amepata girlfriend mpya, kajitu chenyewe kabaya hata hakistui sijui ame muokotea wapi masikini ya Mungu halafu kuna watu wengine sijui wakoje wanajua mmeachana bado anaku whatsapp umemuona x wako na girlfriend wake mpya? Eeeee sasa mimi nifanya je nikimuona kajitu kenyewe hata robo hakini fikiii halafu nimemuacha mwenyewe angeniacha yeye kweli ningeumia
Aff acha kujisifia watu watakuja pm ili waendelee kukuchezea na hivi unastress utapigwa dana dana humu kuja kustukaMimi naumia vipi wakati nimetulia zangu naendelea na maisha yangu. Yeye ndio anaeumia ujue kwenye relationship mkiachana yule anaejifanya ku move on haraka ndio aliyeumia sana. Masikini katafuta kajitu kabaya ili kuonyesha watu ame move on haha huku moyoni anauamia
Duu utazani ulikuwepoInaonekana wewe ndio unateseka maana hadi umemjua gf wake mpya ukamchunguza ukaona ni mbaya, uzuri wa mtu uko machoni mwa anayemtazama. Just move on girl
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila kwel mkuu... Coz utakapojua ume brockiwa ni lazma ulkuwa na harakat za kutak kfanya mawasiliano naeAhahhhahh nimejikuta nacheka tu!!!
Eeh embu tuambie ulijuaje kama kakubrok?!!!
Haki, utoto ni raha sana!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hivyo kwa mwana wa mwenzio?Kwan Hiyo nyapu yako Ina dhahabu kenge ww
Tena ilivo kama kokwa la embe lililokanyagwa na gari ina maji mengi Sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Toba.....
Kwahy uko single mdada. Ebu kuwa muwazi kdg usizunguke sanaWanaume sijui wako vipi mtu umeachwa basi utafute girl mzuri kumshinda x wako hata akimuona aanze kukuonea wivu. Kama huyu kaka mpaka anatia huruma nimemuacha miezi mitatu bado amepata girlfriend mpya, kajitu chenyewe kabaya hata hakistui sijui ame muokotea wapi masikini ya Mungu halafu kuna watu wengine sijui wakoje wanajua mmeachana bado anaku whatsapp umemuona x wako na girlfriend wake mpya? Eeeee sasa mimi nifanya je nikimuona kajitu kenyewe hata robo hakini fikiii halafu nimemuacha mwenyewe angeniacha yeye kweli ningeumia