Wanaume wanahangaika sana

Wanaume wanahangaika sana

SASA WEWE MJINGA NAKWAMBIA HIVI,

HUYU WA SASA HIVI ND'O NAOA KABISA ILI IKUUME VIZURI,
WEWE NILIKUACHA UENDE KWA SABABU KICHWANI HAUNA AKILI.

ENDELEA KUDANGA NA UTAZEEKA HIVYOHIVYO!!!

(Wakuu,
Msishangae sana, mimi nd'o jamaa mwenyewe,
Na amekuja kufungua uzi huku akijua kuwa nitauona kwa kuwa huwa napita huku).

"ILA MAISHA LAZIMA YAENDELEE."
Poa mkuu tumekuelewa
 
Wanaume sijui wako vipi mtu umeachwa basi utafute girl mzuri kumshinda x wako hata akimuona aanze kukuonea wivu. Kama huyu kaka mpaka anatia huruma nimemuacha miezi mitatu bado amepata girlfriend mpya, kajitu chenyewe kabaya hata hakistui sijui ame muokotea wapi masikini ya Mungu halafu kuna watu wengine sijui wakoje wanajua mmeachana bado anaku whatsapp umemuona x wako na girlfriend wake mpya? Eeeee sasa mimi nifanya je nikimuona kajitu kenyewe hata robo hakini fikiii halafu nimemuacha mwenyewe angeniacha yeye kweli ningeumia
Utakuwa hujui maana ya mwanaume.

Yani achague mtu wake kwa kukulinganisha na wewe?

Ukumbuke na uiweke akilini kwamba mwanaume huwa haachwi ila anatengeneza mazingira ili umuache wewe aepukane na lawama za kuwa alikupotezea muda.

Najua hata wewe ulimpenda na ndio maana unamuwaza na alilijua hilo, lakini pamoja na hilo ulikosa sifa za kuendelea naye lakini ametafuta njia rahisi ya kukupunguzia maumivu kwa kukupa ushindi feki
 
Wanaume sijui wako vipi mtu umeachwa basi utafute girl mzuri kumshinda x wako hata akimuona aanze kukuonea wivu. Kama huyu kaka mpaka anatia huruma nimemuacha miezi mitatu bado amepata girlfriend mpya, kajitu chenyewe kabaya hata hakistui sijui ame muokotea wapi masikini ya Mungu 😂😂 halafu kuna watu wengine sijui wakoje wanajua mmeachana bado anaku whatsapp umemuona x wako na girlfriend wake mpya? Eeeee sasa mimi nifanya je nikimuona 😂😂 kajitu kenyewe hata robo hakini fikiii 😅 halafu nimemuacha mwenyewe angeniacha yeye kweli ningeumia 😉

Wewe ulikuwa mzuri, kaona wazuri ni wadangaji, sio waaminifu, waongo, etc....kaamua kuchukua wa kawaida sasa, kosa lake liko wapi? Mbona kama inakuuma vile? Wewe si ndio ulimuacha? Muwasho wa nini sasa?
 
Wanaume sijui wako vipi mtu umeachwa basi utafute girl mzuri kumshinda x wako hata akimuona aanze kukuonea wivu. Kama huyu kaka mpaka anatia huruma nimemuacha miezi mitatu bado amepata girlfriend mpya, kajitu chenyewe kabaya hata hakistui sijui ame muokotea wapi masikini ya Mungu halafu kuna watu wengine sijui wakoje wanajua mmeachana bado anaku whatsapp umemuona x wako na girlfriend wake mpya? Eeeee sasa mimi nifanya je nikimuona kajitu kenyewe hata robo hakini fikiii halafu nimemuacha mwenyewe angeniacha yeye kweli ningeumia
Ni swala la muda tu, kwa kuwa alishakutafuna basi kuna siku haijulikani atapasha kiporo.
 
Mimi naumia vipi wakati nimetulia zangu naendelea na maisha yangu. Yeye ndio anaeumia ujue kwenye relationship mkiachana yule anaejifanya ku move on haraka ndio aliyeumia sana. Masikini katafuta kajitu kabaya ili kuonyesha watu ame move on haha huku moyoni anauamia
Kwa nini umgredi mwanamke mwenzio?

Muheshimu mwanamke mwenzio na ikiwezekana acha kumshambulia muonee huruma
 
Utakuwa hujui maana ya mwanaume.

Yani achague mtu wake kwa kukulinganisha na wewe?

Ukumbuke na uiweke akilini kwamba mwanaume huwa haachwi ila anatengeneza mazingira ili umuache wewe aepukane na lawama za kuwa alikupotezea muda.

Najua hata wewe ulimpenda na ndio maana unamuwaza na alilijua hilo, lakini pamoja na hilo ulikosa sifa za kuendelea naye lakini ametafuta njia rahisi ya kukupunguzia maumivu kwa kukupa ushindi feki
bro uko vizuri.. umetambaa mulemule.
 
Wanaume sijui wako vipi mtu umeachwa basi utafute girl mzuri kumshinda x wako hata akimuona aanze kukuonea wivu. Kama huyu kaka mpaka anatia huruma nimemuacha miezi mitatu bado amepata girlfriend mpya, kajitu chenyewe kabaya hata hakistui sijui ame muokotea wapi masikini ya Mungu halafu kuna watu wengine sijui wakoje wanajua mmeachana bado anaku whatsapp umemuona x wako na girlfriend wake mpya? Eeeee sasa mimi nifanya je nikimuona kajitu kenyewe hata robo hakini fikiii halafu nimemuacha mwenyewe angeniacha yeye kweli ningeumia
Ebu nitupie ka picha chako PM au nipe user name yako fb nikuthaminishe Kama we ni cute as u say so
 
Wewe mimi siumii cuz mimi ndio nimemuacha halafu baada ya kumuacha kani block kote kote. Sasa hapa anaeumia nani kama sio yeye. Girl wake mpya sijamchunguza nimetumiwa picha na mtu tu
Ishi afu mbona ubajichanganya maelezo yako dada mala katutumia picha ya Dem wake , mal ameku block which is which!
 
kwa age yangu hakuna kupotezeana muda na weza sema ni experience halafu we were madly in love sasa unaanzaje kusema kupoteza muda hata kama mapenzi yameisha siwezi kusema ni kupoteza muda hata kama tumeachana kuna vitu nme learn kwa hii relationship
Na ku quote Kuna sehemu amejibu kajamaa chenyewe kua akana mbele Wala nyuma kua mchizi ajielewi"

Now unakuja kusemaje hapo juu

We demu AMUNAZO kabisa ivi una miaka mingapi?
 
Kwa hili bandiko inaonekana sura yako ndio umeigeuza maslahi kwenye mahusiano kuliko tabia njema. Sasa we endelea na akili hio utaachwa mpaka ujione una mikosi.

Halafu kimsingi ulijua ukiachwa jamaa ata struggle kupata mpenzi mpya ili nafsi yako isuuzike matokeo yake kashapata goma mapema tu...we kaa kwa kutulia regardless mpenzi wake ni mzuri au mbaya kwa mtazamo wako alimradi ana sifa zote za kuitwa mwanamke we haikuhusu acha kuteseka. Ulibipu jamaa kapiga we lala zako mbele sasa uone kama kupata mwanaume mwenye akili ni rahisi.
Ni Bonge la ujumbe kama ana akili atauchukua na kuufanyia kazi
 
Acha wivu weww fanya mpango umpindue urudi hiyo ndo ile wivu sina ila roho inaniuma
Wanaume sijui wako vipi mtu umeachwa basi utafute girl mzuri kumshinda x wako hata akimuona aanze kukuonea wivu. Kama huyu kaka mpaka anatia huruma nimemuacha miezi mitatu bado amepata girlfriend mpya, kajitu chenyewe kabaya hata hakistui sijui ame muokotea wapi masikini ya Mungu halafu kuna watu wengine sijui wakoje wanajua mmeachana bado anaku whatsapp umemuona x wako na girlfriend wake mpya? Eeeee sasa mimi nifanya je nikimuona kajitu kenyewe hata robo hakini fikiii halafu nimemuacha mwenyewe angeniacha yeye kweli ningeumia
 
Well you only need the light when it's burning low
Only miss the sun when it starts to snow
Only know you love him when you let him go
Only know you've been high when you're feeling low
Only hate the road when you're missing home
Only know you love him when you let him go
And you let him go

Staring at the bottom of your glass
Hoping one day you'll make a dream last
But dreams come slow and they go so fast
You see him when you close your eyes
Maybe one day you'll understand why
Everything you touch surely dies

Staring at the ceiling in the dark
Same old empty feeling in your heart
Love comes slow and it goes so fast
Well you see him when you fall asleep
But never to touch and never to keep
'Cause you loved him too much and you dive too deep

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom