Wanaume wabaya sana

Wanaume wabaya sana

Ulisikia wapi Abdalah Kichwa wazi akawa na sura nzuri na hapo ndipo ubaya unapoanzia
 
Hellow lovers,

Wanaume wabaya sana sana vuta picha mtu unampenda sana unaenda kumtembelea una mkuta na mwanamke amevaa khanga yako na tishet yako ambayo ulimpelekea mpenzi kama zawadi.
Afadhali hata umepigwa tukio nafurahi nikiona demu ameumizwa madem wamenifanyia kitu kinaya sana
 
Hellow lovers,

Wanaume wabaya sana sana vuta picha mtu unampenda sana unaenda kumtembelea una mkuta na mwanamke amevaa khanga yako na tishet yako ambayo ulimpelekea mpenzi kama zawadi.
Mm najitolea kukufariji ktk kpindi hichi kigumu
 
Toa taarifa kwa kituo chochote Cha polisi kilicho karibu nawe
 
Mume wako yupo atakuja endelea kutulia. Miaka 2011- 2015 katikati nilikuwa naishi Morogoro na DSM, nilidhurula vibaya sana hiyo miji hasa DSM kumbe mke wangu kipenzi alikuwa pale Kinondoni.

Nimekuja kukutana naye mkoani mwaka 2015 mwishoni baada ya yeye kuja huku kwa issues zake nami pia kuja huku kwa issues zangu.

Wakati huu tunakaribia kumaliza miaka 08, tunawatoto wawili na mwingine panapo majaliwa ya Mwenyezi Mungu anakuja ndani ya huu mwaka.

Wifi yako anakula maembe mabichi na limao na ndimu za kutosha. Kwa hiyo kaa utulie ipo siku yako.
 
Hellow lovers,

Wanaume wabaya sana sana vuta picha mtu unampenda sana unaenda kumtembelea una mkuta na mwanamke amevaa khanga yako na tishet yako ambayo ulimpelekea mpenzi kama zawadi.
Yaani wwe umenikumbusha wale Wanawake ambao anaamia kwenye Ghetto lako bila Mwanaume kujua taratibu huwa mnaanza kwa kuaacha kanga, kesho unaacha gauni,Mara sanduku lishajaa kwenye Ghetto la msela, mwisho wa siku watu wanakuona unaishi hapo lakini hawajai kuona ukiingia na sanduku lakini viwalo wabadilisha Kama kawa! Na msela asingefanya hivyo wwe ndiyo ulikua uhamie kiujanjanja!!
 
Wewe unampelekea jamaa khanga kama zawadi ndo Maana kakuacha

Njoo kwangu mi napenda khanga nazivaa sana
 
Hellow lovers,

Wanaume wabaya sana sana vuta picha mtu unampenda sana unaenda kumtembelea una mkuta na mwanamke amevaa khanga yako na tishet yako ambayo ulimpelekea mpenzi kama zawadi.
Sema hawara wako ndio mbaya usijumuuishe wanaume wote.
 
Kinachonshangaza hapa,Demu Umempelekea msela kanga kama zawadi?madem Kwa zawadi mnafel pakubwa,mkiacha Boxa na soski Sasa hadi khanga
 
Hellow lovers,

Wanaume wabaya sana sana vuta picha mtu unampenda sana unaenda kumtembelea una mkuta na mwanamke amevaa khanga yako na tishet yako ambayo ulimpelekea mpenzi kama zawadi.
Wanasema kama haupo tayar kumwacha usifunge safar ya fumanizi!
 
Back
Top Bottom