Wanaume wabaya sana

Wanaume wabaya sana

Kwakweli ni wabaya sana,uwe unatoa taarifa ukiwa unaenda kwa watu
Kwa hiyo baby yako ulimpa zawadi ya kanga na t shirt naye akampa baby yake kama zawadi siyo?
 
Kwa asili ya mwanaume mwenye nguvu kamili, muda wote hupenda kuwa karibu na mwanamke, ukiachilia mbali mambo ya utafutaji; kama mko mbali kimahusiano, amini kuna aliyeko karibu anamliwaza iwe ni mara moja moja au siku zote.
Chakufanya, ili kujipunguzia presha, uwe unatoa taarifa mapema unapotaka kwenda kumtembelea. Kwa asili ya mwanaume, anaweza akawalea wanawake kumi bila kumuumiza mwingine; kwa sababu ndio tumeumbwa hivyo.​
 
Hellow lovers,

Wanaume wabaya sana sana vuta picha mtu unampenda sana unaenda kumtembelea una mkuta na mwanamke amevaa khanga yako na tishet yako ambayo ulimpelekea mpenzi kama zawadi.
Vise versa's true
 
Khanga unampelekea mwanamme kama zawadi?
siku nyingine ukitaka kwenda kumuona mpe taarifa ulinde moyo wako mwaya
 
Hellow lovers,

Wanaume wabaya sana sana vuta picha mtu unampenda sana unaenda kumtembelea una mkuta na mwanamke amevaa khanga yako na tishet yako ambayo ulimpelekea mpenzi kama zawadi.


Hii vita tuta uwana sana hadi tuishe
 
Yap nimepigwa changa la machoo , nimejitoa hadi mwisho kumbe mwanaume yupo na mpenzi wake aliyemtambulisha tayari , majuzi kati simu ikapigwa kupokea anasema mke wangu halali Kisa message zako muhakikishie siye ni marafiki tu nasio wapenzi , halafu nikakata mwanamke akapiga akanikanya yalaah sijui waafrika wananionaje?? Kama taktaka hivi
Hivi wewe Mwanamke unatunga au ni kweli yanakukutaga?

Ushauri: penda mtu wa size yako
 
Back
Top Bottom