Frank Hood
JF-Expert Member
- Oct 15, 2021
- 598
- 1,383
Kuna Wanaume wanachepuka wana strong reason ya kuchepuka na huyu atakulinda ata kwa Mke wake na haofii ndoa yake kupotea ilimrad kuwe na factor nyngne zinazoeleweka ila kuna Wanaume wanachepuka na hawana reason ya kuchepuka,hao ujue hawawez kukulinda ata iweje...atailinda ndoa yake kwa vyovyoteYap nimepigwa changa la machoo , nimejitoa hadi mwisho kumbe mwanaume yupo na mpenzi wake aliyemtambulisha tayari , majuzi kati simu ikapigwa kupokea anasema mke wangu halali Kisa message zako muhakikishie siye ni marafiki tu nasio wapenzi , halafu nikakata mwanamke akapiga akanikanya yalaah sijui waafrika wananionaje?? Kama taktaka hivi


