Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,841
- 25,351
Mwanaume unaongea naye hasa hadi umezoena Naye miezi 3 na zaidi ila kumbee anakuchora mbwa yule baadae kaenda Kwake unapigiwa simu unaambiwa mke wangu halali Kisa message zako , halafu mkewe anakupigia kukukanya uache usumbufu nahuku ulikuwa inaitwa mrembo wangu umeamkaje , Masai wangu mzima dah wanaume kiboko saivi acha kuandika message mbaya mke wangu hazitaki . Yallah , mtume simama wanaume wanaume ila yote maisha ipo siku yangu .aisee ....
Wanaume wapo ila wangu yupo mahali tu sijui kwanini najitoaga ufahamu situliagi hadi aje sijui kwanini
Wanaume wapo ila wangu yupo mahali tu sijui kwanini najitoaga ufahamu situliagi hadi aje sijui kwanini
