Shangaziii hebu fungukaa zaidi, mbna km Una hoja hivi, unapaswa kusikilizwa.
![]()
Binamu hapo una dodosa tu upate umbea maana kichwa chako unakijua mwenyewe
Shangaziii hebu fungukaa zaidi, mbna km Una hoja hivi, unapaswa kusikilizwa.
![]()
Hahahaha shangazi nimemuonea huruma tu😂😂😂Shangaziii hebu fungukaa zaidi, mbna km Una hoja hivi, unapaswa kusikilizwa.
![]()
😂😂😂Wacha kusagia kunguni
alikuwa na genye na amerudi nazo hahahahahaNa imagine jinsi ulienda mtembelea bila kumtaarifu
Hao wanaume wanaume gani wako na Tabia chafu za ziada amabazo hy mdada hajui.
Binamu hapo una dodosa tu upate umbea maana kichwa chako unakijua mwenyewe



binamuu hapanaa,Kwann unawaaminisha watu hvyo? Ni kitu kinawezekamasema fikra za watu wameona ndo kila mtu yupo hvyo siku iziUkitaka udumu kwenye mahusiano na ndoa za siku hizi lazima ukubali kusalitiwa ni jambo la kawaida. Wa kwako peke yako hayupo dunia ya sasa
Mkwe😳😳😳
Huwa nafarijika sana kuona wanawake wamepigwa matukio, huwa nafurahi sana, kwa ground hawa wanawake wanatesa sana wanaume, hivyo ni haki yao na wao waumizwe.aiseekuna kauafadhali kuona dem kapigwa tukio
sio kila siku wanaume ndo tunatia huruma huku jf
![]()
.

Hii ni violenceHuwa nafarijika sana kuona wanawake wamepigwa matukio, huwa nafurahi sana, kwa ground hawa wanawake wanatesa sana wanaume, hivyo ni haki yao na wao waumizwe.
Me ningefurah zaidi kama mtoa thread angealikwa kama msindikizaji kwenye harusi ya jamaa ake akimvisha pete dem mpya, pete iliyonunuliwa na mlalamikaj mtoa thread.
Hili jambo lingetokea ningeshiriki namm kutoa mchango wa meza V.I.P![]()

Wewe ni muhini tuUnamsalimia na wewe unaingia bafuni unaoga unabadili nguo unavaa kanga moja unaungana na mke mwenzio kumhudumia mume wenu mtarajiwa.
Maisha mafupi sana haya kunyang'anyana wanaume. Kizuri kula na mwenzio.
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
unavoandikaga nyuzi magazeti kumbo ndo uko hivi
Hahaha eeeh akili za kishetaniHuwa nafarijika sana kuona wanawake wamepigwa matukio, huwa nafurahi sana, kwa ground hawa wanawake wanatesa sana wanaume, hivyo ni haki yao na wao waumizwe.
Me ningefurah zaidi kama mtoa thread angealikwa kama msindikizaji kwenye harusi ya jamaa ake akimvisha pete dem mpya, pete iliyonunuliwa na mlalamikaj mtoa thread.
Hili jambo lingetokea ningeshiriki namm kutoa mchango wa meza V.I.P![]()
Kwa mfano sisi wanaume huwa haturidhiki na mwanamke mmoja tusiwadanganye dada zetuKwann unawaaminisha watu hvyo? Ni kitu kinawezekamasema fikra za watu wameona ndo kila mtu yupo hvyo siku izi
Nimepigwa ban ya kubadili, ila nikiruhisiwa tu nabadili.Usibadili tena jina mkwe...
Watoto wamefunga mashule.JF recently imechangamka kweri kweriiii hiih
Shem mbona unatuchambaMapenzi yatawatesa sana kwa sababu mko kuangalia maisha ya mwanamume je, anajiweza?
Na sisi wanaume tukiwa na vihela huwa hatuachi mbususu na tutakuigizia tunakupenda na vizinga utanipiga ila kuna mmoja ambaye tunakuwa tunamwelewa wa kufanya naye maisha
Sasa inategemea wewe uko wapi kati ya hao wawili