Wanaume wabaya sana

Wanaume wabaya sana

Pole kwa tukio kubwa kama ilo Tena na hii sikukuu, achana nae ako ni chakula ya sikukuu tu
Kanachezewa
Uko wapi Nije tuwe mabest tu wala hatukulan
 
wee Da maua eti nn??
Yap nimepigwa changa la machoo , nimejitoa hadi mwisho kumbe mwanaume yupo na mpenzi wake aliyemtambulisha tayari , majuzi kati simu ikapigwa kupokea anasema mke wangu halali Kisa message zako muhakikishie siye ni marafiki tu nasio wapenzi , halafu nikakata mwanamke akapiga akanikanya yalaah sijui waafrika wananionaje?? Kama taktaka hivi
 
Yap nimepigwa changa la machoo , nimejitoa hadi mwisho kumbe mwanaume yupo na mpenzi wake aliyemtambulisha tayari , majuzi kati simu ikapigwa kupokea anasema mke wangu halali Kisa message zako muhakikishie siye ni marafiki tu nasio wapenzi , halafu nikakata mwanamke akapiga akanikanya yalaah sijui waafrika wananionaje?? Kama taktaka hivi
Sad😭
 
Pole dear umeongea Kwa uchungu😂😂😂
Acha tu nimshangao kwangu hili tukio sio la mchezo limeniuma sana . Yaani nimejijua Sasa na pia kujitambua nimejaribu sana huu upande ila umeshindikana upendo ni zero Kwao wanapenda wengine aisee ila mie nimekuwa wa mchezo .... Aisee hili linauma sijawahi kuumia hivi
 
😂😂😂💔 pole sana mdada.
Fumba macho tuombe tumtoe wako huko alikojificha.
Msijali atakuja soon ila inabidi nitulie naangeanza kwangu ndio aende Kwake ndio ingeniuma zaidi Bora nimepashwa mapema kabla sijafungua Mali ya bibi ningelia kweli
 
Mimi nimekaa na mwanaume miaka miwili nimekuwa nikimsaidia kwakila kitu lakini alipokuja kupata kazi tu akaniacha na kwenda kwa wanawake wengine

Wanawake wenzangu walioumizwa tushare hili kama limekukuta njoo hapa
 
Mm nimekaa na mwanaume miaka miwili nimekuwa nikimsaidia kwakila kitu lakini alipokuja kupata kazi tu akaniacha na kwenda kwa wanawake wengine

Wanawake wenzangu walioumizwa tushare hili kama limekukuta njoo hapa
Pole njoo kwangu upate tulizo la moyo
 
Back
Top Bottom