Nimetaja mvulana kwa makusudi tu, siku zote mvulana ndio huwa na mapungufu, lakini mwanamume hutimia kidara labda awe kilema tu!Unaniuliza mimi kwani mi nawajua?
Alafu hivi kumbe mvulani wakiwa wengi ni wanaume ehhh?!
Hata mimi sikuipenda hii,
huyu dada anamapungufu fulani,
huwezi ukatema uchafu kama huo kwenye
kitu inaitwa 'peoples station'
Muda mwingi anawaza mapenzi na majungu yule mwanamke ni ****
Ana"date na matozi-wachafu,so yes she is very right...
...kuna mdada humu ana shobo kama za diva...nahisi ni mbaya hakuna mfano!...simo!
Hili nimelikuta kwenye ukurasa wake wa facebook anasema wanaume wengi wa tz wananuka boxer,midomo,soksi nk,nimelileta hapa jf magreat thinker mnalizungumziaje?
na mimi pia nimemwona. Halafu hata jnc anavyoandka humu inaonesha kuwa ni m baya kama huyo dinya diva....... BAGAH unaona sana wewe
Kongosho , If that is the case, then hili tatizo lipo hata kwa Kina Dada/ wanawake pia, kama wanategemea mahindi ya Misaada,watapata wapi hela ya Kununua chupi.
Pia maswali zaid, kajuaje, amemegwa na wanaume wangapi mpaka akapata hiyo research, ina maana hao wanaume waliommega wote wa kijijini, Huyo Demu anataka kujieleza how kicheche she is mpaka kujua Maeneo Nyeti ya wanaume tofaut tofaut.
Pambaf zake