chimulenga
Senior Member
- Jun 28, 2023
- 167
- 328
Napitia kushoto kwanza
HII IMEENDAHakuna kilichobadirika wwanaume wa mtandaoni ni malaya kuliko wa uko mtaani kwenu wanaume wa mtandaoni ni wanakula af wanakupotezea ivyo yaani
Andika basi kule kwenye uzi wetu mpendwa kule..., jinsi ndege mjanja umenasa tunduni leo 😋🤤🤗Kuna mtu katoka kuliwa kimasihara sio mda mrefu hapa😃😃😃
Wanawake wengi hawajitambui.Kwani kaondoka nacho??
Hivi ujasili wa kumeet na mtu usiyemjua wenzetu mnautoa wapi?? Mtakuja kufa vifo vibaya nyie
We nisagie, na mimi nikusagie mwisho wa siku tukulane
Tumefikwa 🤣nani kakuambia😂
CHAI
Wanawake wengi hawajitambui.
SORRY TO SAY THIS
Mtu hakujui anaanza kukufungulia visa lukuki vya matatizo ya kutunga ya nyumbani kwao... anahitimisha kuomba na hela kwa mtu hata asiyemjua 🤣🤣🤣🙌🏾Wanawake wengi wa mtandaoni ndo wanaongoza kwa kuomba hela na utapeli wa kutosha
Labda 🤷🏾♂️Wote hawajitambui mpk wanaume
Accordingly to what i've been thru most of timeyou're mysogynistic
SORRY TO SAY THIS🙏🏾
Huyo siyo 'WANAWAKE WENGI', huyo ni tapeli anakupanga akupige. Ukijifanya una kamoyo ka ibada tu, lazima urudi hapa kufungua thread kwa ile ID yako ya malalamiko.Mtu hakujui anaanza kukufungulia visa lukuki vya matatizo ya kutunga ya nyumbani kwao... anahitimisha kuomba na hela kwa mtu hata asiyemjua 🤣🤣🤣🙌🏾
Wanahisi pesa ni kitu kirahisirahisi kutolewa na hawajijui kama huwaga wanajiharibia mapema kwa kukosa stamala
Wanawake zetu wa kiswahili ni MAPOPOMA kwakweli
Sasa kuliwa kidogo tu ndo mpaka ufungue na thread ya kuliwa kweliHakuna kilicho badirika wanaume wa mtandaoni ni malaya kuliko wa uko mtaani kwenu wanaume wa mtandaoni ni wanakula af wanakupotezea ivyo yaani
ni mrejesho huu au?Hakuna kilicho badirika wanaume wa mtandaoni ni malaya kuliko wa uko mtaani kwenu wanaume wa mtandaoni ni wanakula af wanakupotezea ivyo yaani
Usijali,,ngoja nikae chini nitulie niandike..tangulia nakuja😃Andika basi kule kwenye uzi wetu mpendwa kule..., jinsi ndege mjanja umenasa tunduni leo 😋🤤🤗
Kwakweli,, ukute jamaa alikua anatafuta tu sex partner wa kujipooza incase..yeye akahisi amepata mume😃😃🤣🤣🤣🙌Inawezekana walishindwa kukubaliana kwa baadhi ya terms
Mwambie asiwe anakimbilia tu kwenye agree, awe anasoma terms and condition.🤗Achana naye ukimpa kesho upo ukurasa wa mbele na picha ya chupi lako kaweka shosti
Wewe mtafute lile zee tudeal nalo, hiv vitoto vipotezee