Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,557
- 21,513
Habari wakuu,
Husika na kichwa cha habari,
Niende kwenye mada isemayo wanaume wenye six pack ni kwa ajili ya wanaume wenzao sio wanawake.
Wanaume hao baadhi yao hutumiwa na vigogo kuwaburudisha.
Wengi wao uanaume haupo tena ila kwa nje wanaonekana ni wanaume.
Ni jambo la kusikitisha kwakweli wanaume hasa vijana wetu wa sasa.
Kutwa wanaume hao wanashinda JIM kwa kufanya mazoezi kwa lengo la kuwinda yaani kutega wanaume wenzao.
Ajabu ni kuwa wanawake hudhania kuwa wanaume Hawa hufanya mazoezi kwaajili yao wao, kumbe sio.
Unakuta wanawake wanavutiwa nao sana lakini hawana uanaume.
Wengi wao wameshabomolewa huko nyuma zamani wamebaki na vifua tu.
Wanavaa mavazi mazuri ya kuwabana vifua vyao kuwatega wanaume wenzao.
Nasemaje wanavaa vikaptula tena vyeupe ila sio kwa ajili yenu wanawake ni kwa wanaume wenzio wanaowageuza.
Nyie wanawake endeleeni kuwapenda hao wanaume ila hawana mpango na nyie wao. Wanawinda kama nyie mnavyowinda.
Kuna mwanamke mmoja analia kwa kwikwi hapa aliolewa na six pack Sasa anajutraaa...
Husika na kichwa cha habari,
Niende kwenye mada isemayo wanaume wenye six pack ni kwa ajili ya wanaume wenzao sio wanawake.
Wanaume hao baadhi yao hutumiwa na vigogo kuwaburudisha.
Wengi wao uanaume haupo tena ila kwa nje wanaonekana ni wanaume.
Ni jambo la kusikitisha kwakweli wanaume hasa vijana wetu wa sasa.
Kutwa wanaume hao wanashinda JIM kwa kufanya mazoezi kwa lengo la kuwinda yaani kutega wanaume wenzao.
Ajabu ni kuwa wanawake hudhania kuwa wanaume Hawa hufanya mazoezi kwaajili yao wao, kumbe sio.
Unakuta wanawake wanavutiwa nao sana lakini hawana uanaume.
Wengi wao wameshabomolewa huko nyuma zamani wamebaki na vifua tu.
Wanavaa mavazi mazuri ya kuwabana vifua vyao kuwatega wanaume wenzao.
Nasemaje wanavaa vikaptula tena vyeupe ila sio kwa ajili yenu wanawake ni kwa wanaume wenzio wanaowageuza.
Nyie wanawake endeleeni kuwapenda hao wanaume ila hawana mpango na nyie wao. Wanawinda kama nyie mnavyowinda.
Kuna mwanamke mmoja analia kwa kwikwi hapa aliolewa na six pack Sasa anajutraaa...