Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,841
- 25,351
mshamba_hachekwi mambo ninachosikia ni ukweli??
Kwa maelezo yake tu nimejikuta nakumbuka nyuzi za watu wa rikiboy😂😂Ebu tupe uzoefu
Inawezekana walishindwa kukubaliana kwa baadhi ya termsKwa maelezo yake tu nimejikuta nakumbuka nyuzi za watu wa rikiboy😂😂
Tayari tena😂Hakuna kilichobadirika wwanaume wa mtandaoni ni malaya kuliko wa uko mtaani kwenu wanaume wa mtandaoni ni wanakula af wanakupotezea ivyo yaani
Mmh haya yangu machoosio kweli babe wanataka tuachane😅
Huko mtaani kwako si ndio hawa? Walioko mtaani wote nao wanatumia social network kama sio hapa atakuwepo Ig, ama Twita basi tuseme hata Elon wa twitter nae malaya? Na maraisi je🙄Hakuna kilichobadirika wwanaume wa mtandaoni ni malaya kuliko wa uko mtaani kwenu wanaume wa mtandaoni ni wanakula af wanakupotezea ivyo yaani
toka hapa![]()



Wewe si unanifukuziaga mashemeji zako?!!!! Sasa subiri uone gubu la wifi lilivyoMmh haya yangu machoo





huna ushahidinani atakusikiliza








Ebu jaribu kwangu mimi kwanza tujue kama kweli wanaume wa mtandaoni malayaHakuna kilichobadirika wwanaume wa mtandaoni ni malaya kuliko wa uko mtaani kwenu wanaume wa mtandaoni ni wanakula af wanakupotezea ivyo yaani
unataka bifu na mshambahutopenda




Wamtandaoni ndio Hao Hao WA mtaani. Au WA mtaani hawamiliki Smartphones?Hakuna kilichobadirika wwanaume wa mtandaoni ni malaya kuliko wa uko mtaani kwenu wanaume wa mtandaoni ni wanakula af wanakupotezea ivyo yaani
embu niachane![]()




Mpenda wazeeSasa ninmdogo ana 18 jamani hapo sintaletewa shida? Naogopa