Kajifunze kwanza kuandika, yaani wewe umepooza hadi uandishi sipati picha kwingine ukoje. Utakuwa ni pooza la kiwango cha fly over wewe. Pesa huna,mapenzi hujui na kuandika pia hujui🙆 sijui utakuwa mgeni wa nani.Kama ndio ww kwenye hio picha ulioweka basi ni haki yake ya halali kabxa kupooza mpaka hapo mtakapoachana!!! N uxhauri tu
Sidhani Kama mtoa mada anapenda ngono kupita kiasi yaani ni vile hampo romantic hamsisimui. Hata kama hampendi ngono sex inahitaji kuwe na moto flani hivi Sasa nyie mmpepoaa.Sijui swali la mtoa mada linataka nini.
Uchangamvu wa mtu hauhusiani na kabila.
Wachagga tunajua mapenzi, ila hatuabudu na kusujudia wanawake.
Mapenzi na kiwango yanatofautiana kulingana na mahitaji ya mtu.
Mfano, Muhaya na Msambaa akiolewa na Mchagga, kuna uwezekano mkubwa wa malalamiko kutokea.
Sababu ni kwamba, Muhaya na Msambaa sana mahitaji makubwa kingono yaani bila kutiwa mara mbili kwa Siku hawatosheki.
Ila Mchagga akiwa na Mchagga mwenzake watashibana kwa sababu wanawake wa Kichagga siyo watu wapenda ngono sana na hawana mahitaji makubwa ya ngono.
Ni hivi, siyo lazima uolewe na Mchagga, kama unapenda sana ngono olewa na makabila kama Wahaya, Waha, Wangoni, Wasambaa, Warangi na wengineo.
Wachagga tunasex ila sex na ngono siyo kipaumbele.
Mapenzi yanaletwa na utulivu wa kiuchumi.
Kama unapenda sana ngono kupita kiasi, na kama unataka mwanaume wa kukuabudu achana na mahusiano na Mchagga maana hatupendi vishoia shobo hadi kwa majirani.
Sijui swali la mtoa mada linataka nini.
Uchangamvu wa mtu hauhusiani na kabila.
Wachagga tunajua mapenzi, ila hatuabudu na kusujudia wanawake.
Mapenzi na kiwango yanatofautiana kulingana na mahitaji ya mtu.
Mfano, Muhaya na Msambaa akiolewa na Mchagga, kuna uwezekano mkubwa wa malalamiko kutokea.
Sababu ni kwamba, Muhaya na Msambaa sana mahitaji makubwa kingono yaani bila kutiwa mara mbili kwa Siku hawatosheki.
Ila Mchagga akiwa na Mchagga mwenzake watashibana kwa sababu wanawake wa Kichagga siyo watu wapenda ngono sana na hawana mahitaji makubwa ya ngono.
Ni hivi, siyo lazima uolewe na Mchagga, kama unapenda sana ngono olewa na makabila kama Wahaya, Waha, Wangoni, Wasambaa, Warangi na wengineo.
Wachagga tunasex ila sex na ngono siyo kipaumbele.
Mapenzi yanaletwa na utulivu wa kiuchumi.
Kama unapenda sana ngono kupita kiasi, na kama unataka mwanaume wa kukuabudu achana na mahusiano na Mchagga maana hatupendi vishoia shobo hadi kwa majirani.
Kumbe kuzaana ndio kujua mapenzi?Mama!
Makabila yapo 120+.
Tafuta size yako.
Ukipenda zege kavu, au zege rojo la kutatuka, nini juu yako.
Kama specifically umeshagundua Wachagga kwako ni tatizo, tafuta kabila la size yako.
Kama hatujui mapenzi, imekuwaje Mkoa wa Kilimanjaro ukajaa watu?
Na bado nchi nzima wachagga tumeenea
Wachagga hatufanyi uma
👏👏👏👏👏Sidhani Kama mtoa mada anapenda ngono kupita kiasi yaani ni vile hampo romantic hamsisimui. Hata kama hampendi ngono sex inahitaji kuwe na moto flani hivi Sasa nyie mmpepoaa.
Hata mimi siju tatizoSema tu![]()
bora umeeuliza wewe.....nadhini alifuata pesa....uchangu uko kwa style nyingi mjini......Uliingiaje kwny mahusiano wkt humpendi?..
Anakupenda?
Anashindwaje kukuweka busy?Hana kitambi kabisa.
Kwani we ni kabila gani mkuu...???Kwenye utafutaji kweli wanajitahidi, ila huu upande mwingine wanafanya maisha yanakuwa magumu kweli. Huyu wangu kuna wakati namuangaliaaa hata simmalizi, yes he is handsome ila thats all😤😤
Akina Manka sijui wanayawezaje haya.