Wanaume wa kichaga

Ndo mimi nikamwambia kaka nakupenda sana ila kama unanipenda kweli ungenivumilia niache kucheza mziki taratibu kwa sababu na mimi najua nakubore sema ndo siwezi kuacha ghafla tuu.
Akiniona nacheza mziki anachanganyikiwa kabisa.
 
Ndo mimi nikamwambia kaka nakupenda sana ila kama unanipenda kweli ungenivumilia niache kucheza mziki taratibu kwa sababu na mimi najua nakubore sema ndo siwezi kuacha ghafla tuu.
Akiniona nacheza mziki anachanganyikiwa kabisa.
Hahahah yani mziki tu, na Subwoofer nakununulia ile nzuri ucheze nyumbani tu
 
Hivi kumbe mimi sijafanikiwa kukukimbiza bado? Basi ngoja dawa yako iko jikoni inachemka vizuri kabisa nataka ifike pahala kila ukiona comment yangu useme "shikamoo mama" nami niitike "marahaba mwanangu"
Hahahah mie nimeshusha mikono chini, huyu mtoa mada moto wake ni hatari kama mafuta ya ndege


Wacha nikimbize mbawa zangu nimfate mtani wangu wa jadi Marianah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…