Wanaume wa kichaga

Wanaume wa kichaga

Sielewi huwa mnatakaga nini wanawake, huwa nachukizwa sana kuona kwenye jamii kuna mwanamke anawapotosha wenzake, jifunze kutoka kwangu ni hivi ukiona Mwanaume akijali familia yako, anatoa hela za matumizi anakujali wewe na ndugu zako hayo ndiyo mambo ya msingi sana kwenye mahusiano yoyote, ...jambo la kutokukufikisha kileleni ni mambo mnaweza kujadili na mkafundishana pasipo kumuumiza hisia za mume wako,mambo ya kutokua romantic pia mnafundishana kwa upendo sio kujifanya unayajua mapenzi sana...,sasa ukisema utafute mchumba mwingine kila mchumba atakua na mapungufu yake huoni unaanza kuwa na kaumalaya utatembea na wangapi, unaweza mpata aliekua romantic lakini hana hela hakuna mkamilifu siku ya mwisho utakua unatangatanga tu
Not my cup of coffee.
 
Tatizo anajichanganya sana huyu mwanamama, hajui analosimamia ni lipi maana katika maisha ya sasa you choose between the 2:
-Pesa
-Mapenzi
Kila moja linakuja na package yake, ila ukijua unataka nini ndio itakusaidia kuwa basis ya selection au choice yako.
Pesa ikiwa nyingi asilimia kubwa ya vidume uaminifu huwa 1% na muda na madoido mapenzi (sex and romance) 9% hizo asilimia 90% zinazobakia ni kusaka dough,maendeleo na starehe binafsi.
Mapenzi yalipo basi ujue muda, care, uaminifu na madoido ya mapenzi (sex and romance) ni 90% ila asilimia iliobaki itakuwa pesa ni 10%. Hapo mapenzi utayapata ya hela yote mahaba ya kihindi ndio usiseme na kupigwa mkuyenge wa uhakika ila kwenye pesa ndio itabidi zitumike zako zaidi hasa kwenye strategic plans (kujenga, kusomesha, biashara) maana yeye mchango wake kiuchumi unakuwa ni mdogo sana.
Sasa huyu binti anaejinadi ana hela sioni ugumu wa kujitaftia wanaume wa kundi linalomfaa. Sielewi anakwama wapi maana wazee wa kazi wapo wengi sana sikuhizi msingi kiuno. Wanawake wanaojiweza kiuchumi wanajichukulia nakala zao tu mjini wanapata wanachokihitaji katika mahusiano wanatulia zao kimya.
I know what i want, nyie mlokata tamaa chagueni tu. Its a free world.
 
Sio kwa mchaga tu sahivi jamii imechafukwa, hamna mambo ya kizamani. Vipaumbele ni aidha mtu anataka pesa au mapenzi na si kwa wachaga tu. Wanaume wote wana exercise hii notion.
-Anaetaka mapenzi wapo watu wa hio biashara watamingle freshi tu na kumjaza kimapenzi.
-Anaehitaji pesa wapo watu watakaomfaa na kumfurahisha na pesa.
Ishu inakuja ambapo hawezi kupata vyote sehemu moja lazma vizidiane tu. So lazma mtu awe na kipaumbele chake maishani.
"Wanaume wote" is such a strong word. Sikulaumu kukata tamaa maybe haujalelewa kwenye familia yenye both, na yawezekana pia haukuwahi kupendwa hivyo ukaamua ujikatie tamaa na kuconclude hivyo.
 
Mwache akajifunze, hao ndio wanawake ambao hawana priorities in life. Angekuwa nazo angestick na mtu mmoja ambae anaeleweka tu very early, anaonekana mtu wa kujaribu jaribu mahusiano.
We wa kustik na unayejua unachotaka inawezekana uko na mmoja tu uloanza nae au umeoa huyohuyo uloanza nae.

Ila i doubt that maana comments zako zina machungu sana, pole lakini. Thats life.
 
Pesa na malovee kidogo
Ila unaweza kua na mwanaume asiejua kutafuta kisa tu ni type ya mwanaume umtakae?
Did i say that?

I dont want a looser either.
 
Tatizo ameshaonja kila kona unategemeaje mtu kama huyu kufarahia au kulizika na mahusiano yake...wanawake wajuaji huwa wana tabu sana...na siku ya mwisho upoteza kila kitu
Dua la kuku, ila kumbuka hata wanawake wenu kule Rombo walihamia Kenya kupata huduma. Sasa sijui kwanini mnashupaza shingo.
 
Kwa maelezo yake tuu ndoivo yani. Mara nyumba iishe mara nini..maslahi mbele.
Kwa maana kwamba akimuacha mapema cost za kodi na mambo mengine yatamlemea mleta mada mwenyewe.. poor chagga brother.
Yo think you know🤷
 
Sijasema wakina manka hawaonji nilichosema ni kwamba "wanaoweza" ni ambao wanatulia kwenye mahusiano hawajaonja huku na huko kujua ladha tofauti.
Wasioweza ni ambao wameshaonja huku na huko na wanajua kila ladha hivyo kazi yao ni kulinganisha ladha.

And yes...., hauwezi kusema Fulani hajui mapenzi kama hauna experience unayoizungumzia kama mfano.
Punguza maneno mengi mama. Yaani kwa kifupi mwambie aache Umalaya.
 
Sijasema wakina manka hawaonji nilichosema ni kwamba "wanaoweza" ni ambao wanatulia kwenye mahusiano hawajaonja huku na huko kujua ladha tofauti.
Wasioweza ni ambao wameshaonja huku na huko na wanajua kila ladha hivyo kazi yao ni kulinganisha ladha.
And yes...., hauwezi kusema Fulani hajui mapenzi kama hauna experience unayoizungumzia kama mfano.
Well uliquote kwa akina manka kama yo base of arguement. Kuonja muhimu ili kujua kama yaliyomo yamo, kuliko ukija kusikia mambo ya kileleni unaanza kutoa macho kumbe ni mambo ya kawaida tu.
Wachangamsheni kaka zenu bwana sio mnahamia Kenya.
 
Back
Top Bottom