Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,633
- 38,733
Kuna mipango ya chinichini toka siku nyingi yakutuchafua wanaume wa kichaga..tutaongea na waandishi wa habari siku sii nyingi
Shite sha warumu.
"I can't you"
kumbe we ni mangi aisee, kongole zakoYeah. Another side of me.
HallelujahNazidi kuelemika kwa michango yako kuntu na nazidi kuuelewa unguli wako....
Huko mwishoni nimewasifia nadhani familia ni kitu muhimu kuliko vitu vingine vidogo vidogo
Mwache akajifunze, hao ndio wanawake ambao hawana priorities in life. Angekuwa nazo angestick na mtu mmoja ambae anaeleweka tu very early, anaonekana mtu wa kujaribu jaribu mahusiano.Sielewi huwa mnatakaga nini wanawake, huwa nachukizwa sana kuona kwenye jamii kuna mwanamke anawapotosha wenzake, jifunze kutoka kwangu ni hivi ukiona Mwanaume akijali familia yako, anatoa hela za matumizi anakujali wewe na ndugu zako hayo ndiyo mambo ya msingi sana kwenye mahusiano yoyote, ...jambo la kutokukufikisha kileleni ni mambo mnaweza kujadili na mkafundishana pasipo kumuumiza hisia za mume wako,mambo ya kutokua romantic pia mnafundishana kwa upendo sio kujifanya unayajua mapenzi sana...,sasa ukisema utafute mchumba mwingine kila mchumba atakua na mapungufu yake huoni unaanza kuwa na kaumalaya utatembea na wangapi, unaweza mpata aliekua romantic lakini hana hela hakuna mkamilifu siku ya mwisho utakua unatangatanga tu
Usiwaangalie wenzio kwa short sighted (myopia) sasa kama unaamini no one is perfect.. And BTW your flooded just stay on your lane.
Kwahiyo kwako pesa tu inatosha?
Hahahahahaha msipoongelewa nyie ataongelewa nani sasaKuna mipango ya chinichini toka siku nyingi yakutuchafua wanaume wa kichaga..tutaongea na waandishi wa habari siku sii nyingi.
Ni mda sasa wakupata uongozi wetu humu
Tatizo ameshaonja kila kona unategemeaje mtu kama huyu kufarahia au kulizika na mahusiano yake...wanawake wajuaji huwa wana tabu sana...na siku ya mwisho upoteza kila kituMwache akajifunze, hao ndio wanawake ambao hawana priorities in life. Angekuwa nazo angestick na mtu mmoja ambae anaeleweka tu very early, anaonekana mtu wa kujaribu jaribu mahusiano.
Lile jibu langu vipi Mkuu ?
Manka bhanaaaa sio Mangi.kumbe we ni mangi aisee, kongole zako
Raha ya mwanaume awe jeuri jeuri walau kidogo
Ahaa sawa babewe ni mlimbwende wangu, huwezi kukata miti akati mm nipo waridi wangu.
Sio kwamba tunapenda mkorofi, mwanaume akiwa mpole sana anaboa
AhsanteNakazia
Hapa ndipo point ilipo, ushamchuna hadi nyumba anamalizia kujenga ndo unamuona hayupo romantic..I see!
Huyu namvumilia tu maana namalizia ujenzi wa nyumba yangu niachane nae maana sidhani if i can spend the rest of my life with someone like this. Nitamchoka mapema sana.
No doubt bro...nimeshuhudia wengiTatizo ameshaonja kila kona unategemeaje mtu kama huyu kufarahia au kulizika na mahusiano yake...wanawake wajuaji huwa wana tabu sana...na siku ya mwisho upoteza kila kitu
Wangoni wenye akili mbovu waliokimbia kwa madiba kwenda namtumbo.
huyo anaekenua sio mwanaume, yani umpige singi acheke et jentromen😂😂😂 ukijaribu kwangu naweza nikakupandia mgombaNaongezea unaweza hata mpiga singi bado akakenua..hahaha