Wanaume wa Kanda ya ziwa, enyi wanawake jaribu kutuelewa

ngara23

JF-Expert Member
Aug 31, 2019
2,932
6,568
Nimeona nitoe tahadhari,
Tanzania ni kubwa na tamaduni tofauti.
Kwa kilichotokea huko Goba, Dar kiwe funzo Kwa wanawake wa mjini kujia tamaduni za wanaume ngangari na wagumu hasa kutoka Kanda ya ziwa.

Mwanaume wa Kanda ya ziwa huwezi kumwita majina yenu ya danga, yaani mtu wa Geita, Mara, Kagera , Mwanza na Shinyanga ule mali zake then umchanganye na wanaume wengine, hakika hayo ya Goba yatatokea sana.

Mwanaume wa Kanda ya ziwa anahitaji heshima,
Ewe mwanamke usikaririi wanaume wa pwani kuwafulia, kuwapikia, mwanaume uko kwenye Ngoma uje usiku asikufanye lolote, utapigwa na kupigika.

Mwanaume wa Kanda ya ziwa hawezi kuchukulia poa utamaduni wa kushare mwanamke.
Mkiendekeza hayo yatawakuta ya Goba sana.

Ukiwa na mwanaume wa Kanda ya ziwa mheshimu, ukitoka muahe na utii sheria alokupa kuzingatia muda kurejea nyumbani, usidange, piga magoti ukimpa chakula au kingine,
Akiwa anaongea usijibazane nae maana unaweza kula mkofi ukazimia siku mbili.

Sisi wanaume wa Kanda ya ziwa tuna sababu kuu 3 za kumfanya ya Goba mwanamke.
1. Mwanamke akitoa penzi nje ndoa/ mahusiano. Ukijiridhisha hakuna kuuliza ni aidha ufe au afe yeye.

2 mwanamke mshirikina. ukimkuta mkeo au mpenzi anafanya shiriki hiyo kesi haifiki hata Kwa wazee, namna ya kuimaliza ni kama ya huko Goba

3 mwanamke akimdharau me wake . Hapo adhabu Huwa ndogo kama vibao na viboko kadhaa kama hatakuwa na mdomo, akiwa na mdomo mrefu lolote baya laweza kutokea.

Tujifunze kuwasoma wanaume wa Kanda ya ziwa
Wasalam
 
Nimeona nitoe tahadhari,
Tanzania ni kubwa na tamaduni tofauti.
Kwa kilichotokea huko Goba, Dar kiwe funzo Kwa wanawake wa mjini kujia tamaduni za wanaume ngangari na wagumu hasa kutoka Kanda ya ziwa.

Mwanaume wa Kanda ya ziwa huwezi kumwita majina yenu ya danga, yaani mtu wa Geita, Mara, Kagera , Mwanza na Shinyanga ule mali zake then umchanganye na wanaume wengine, hakika hayo ya Goba yatatokea sana.

Mwanaume wa Kanda ya ziwa anahitaji heshima,
Ewe mwanamke usikaririi wanaume wa pwani kuwafulia, kuwapikia, mwanaume uko kwenye Ngoma uje usiku asikufanye lolote, utapigwa na kupigika.

Mwanaume wa Kanda ya ziwa hawezi kuchukulia poa utamaduni wa kushare mwanamke.
Mkiendekeza hayo yatawakuta ya Goba sana.

Ukiwa na mwanaume wa Kanda ya ziwa mheshimu, ukitoka muahe na utii sheria alokupa kuzingatia muda kurejea nyumbani, usidange, piga magoti ukimpa chakula au kingine,
Akiwa anaongea usijibazane nae maana unaweza kula mkofi ukazimia siku mbili.

Sisi wanaume wa Kanda ya ziwa tuna sababu kuu 3 za kumfanya ya Goba mwanamke.
1. Mwanamke akitoa penzi nje ndoa/ mahusiano. Ukijiridhisha hakuna kuuliza ni aidha ufe au afe yeye.

2 mwanamke mshirikina. ukimkuta mkeo au mpenzi anafanya shiriki hiyo kesi haifiki hata Kwa wazee, namna ya kuimaliza ni kama ya huko Goba

3 mwanamke akimdharau me wake . Hapo adhabu Huwa ndogo kama vibao na viboko kadhaa kama hatakuwa na mdomo, akiwa na mdomo mrefu lolote baya laweza kutokea.

Tujifunze kuwasoma wanaume wa Kanda ya ziwa
Wasalam
Njia rahisi ni mwanaume kua makini kuchagua mwanamke wa kutembea nae, vitisho havisaidiii 😂

Kuna wanawake wengine ukitumia kichwa kikuu bila kushirikisha cha chini unajua tu hapa majanga kama sio leo basi kesho.
 
Tatizo ni moja, wazee wetu wa zamani walikuwa hawayasemi madhaifu ya mama zetu ndio maana tumekuwa tukiamini walikuwa perfect. Huku mama zetu wakiongea sana kuhusu baba zetu kwa hiyo tulikua tukiamini wazee wetu ni tatizo hadi tulipofikia umri wa kuingia katika mahusiano ndio tukajua matatizo halisi.

Kiufupi, cheating haijaanza leo au jana, wamama wa zamani nao walisaliti Ila ukimya wa wazee wetu uliwasitiri. Hivyo, inabidi tu ujue mkuu usitumie generalization kuhalalisha maamuzi ambayo ukiyafanya yatakugharimu..

Imagine hadi umri huu sijaingia gerezani, ndio nije nipate kifungo cha maisha kwa ajili ya mwanamke aliyeshindwa kujithamini na kujiheshimu. Mungu aniepushie kwa kweli
 
Tatizo ni moja, wazee wetu wa zamani walikuwa hawayasemi madhaifu ya mama zetu ndio maana tumekuwa tukiamini walikuwa perfect. Huku mama zetu wakiongea sana kuhusu baba zetu kwa hiyo tulikua tukiamini wazee wetu ni tatizo hadi tulipofikia umri wa kuingia katika mahusiano ndio tukajua matatizo halisi.

Kiufupi, cheating haijaanza leo au jana, wamama wa zamani nao walisaliti Ila ukimya wa wazee wetu uliwasitiri. Hivyo, inabidi tu ujue mkuu usitumie generalization kuhalalisha maamuzi ambayo ukiyafanya yatakugharimu..

Imagine hadi umri huu sijaingia gerezani, ndio nije nipate kifungo cha maisha kwa ajili ya mwanamke aliyeshindwa kujithamini na kujiheshimu. Mungu aniepushie kwa kweli
Mwanamke amebeba zaidi ya 90% ya heshima yako.
Mwanamke anayegawa uchi ovyo anamvinjia mwanaume wake heshima na kumdhalilisha kuliko hata anavodhalilika yeye.
Sisi wanaume wa Kanda ya ziwa tupo tayari Kwa lolote ikiwa ni pamoja na kwenda gerezani tukisaka na kutoa ujumbe Kwa wanaobaki kuhusu umuhimu wa hili
 
Hujataja kitu kimoja, na nyinyi punguzeni kupenda kiboya.

Unampenda dada wa gloseri hadi unapata wivu wa kuua? Acheni ushamba kanda ya ziwa

Sisemi dada wa gloseri asipendwe ila ukimpenda Acha na nafasi ya wengine 'kumpenda' mazingira yao ya kazi yanataka wanaompenda wawe wengi . Na ukijiona umekolea kiasi hicho basi muachishe hiyo biashara
 
Hujataja kitu kimoja, na nyinyi punguzeni kupenda kiboya.

Unampenda dada wa gloseri hadi unapata wivu wa kuua? Acheni ushamba kanda ya ziwa

Sisemi dada wa gloseri asipendwe ila ukimpenda Acha na nafasi ya wengine 'kumpenda' mazingira yao ya kazi yanataka wanaompenda wawe wengi . Na ukijiona umekolea kiasi hicho basi muachishe hiyo biashara
Wanaume wa Kanda ya ziwa tupo tofauti.
Watu wa Dar mtuzoee
 
Back
Top Bottom