Wanaume wa JF sio wakweli hata kidogo

Wanaume wa JF sio wakweli hata kidogo

Pole sana bibie.
Bila shaka na wengine wataendelea kujifunza kutokana na makosa ya baadhi yenu na mnakuwa waungwana kuleta mrejesho ya utapeli mliofanyiwa.

Watu wengi humu majina wanayotumia humu ni fake. Hiyo iwe tahadhari ya kwanza. Wengi wa wanaotumia majina bandia, humu na katika maisha halisi ni watu fake, matapeli.
 
Swali liko pale pale fufua fukua are you real? Lengo lako linakuwa lipi haswa?

Real men wanavutia aisee.
Mimi kuna password moja ilinijia pm. Alikuwa straight mpaka nikaogopa alianza hivi

Mimi ni fulani nafanya kazi UN namiliki 1,2,3,4,5,6,7 8 9 aisee nilivyokuja kumjuwa nilitaka kuzimia yaani ana kila kitu dunia hii mwanamke anachotamani, anajipenda balaa
Kilichonifanya nisiwe nae ni muislam. Na mimi sinaga tamaa kasoro niliyoina kwake ni hiyo tuuuu, ni good friend tunachat vizuri tu. Na sijawahi fanya nae chochote na sio demanding anajielewa ati.
Mkuu fufua ila usiigize, we need real men.
mzabzab
Extrovert
Mnaona mambo mazito haya 😅😅😅 acha niendelee kupambana na watotot wa chuo hawa mashangazu wa humu ni kama W16 siwawezi
 
Wanaume wa jf sio wakweli hata kidogo ,they are not real but full of acting.
Sjapenda embu niambie Kama unamke umeoa ulinifatia nn Bobo na kuniomba WhatsApp number and then usinipigie cm usiku ninamke Mara naogopa tutagombana
Wakat inbox unanitongoz unadai upo single chefu[emoji25]
Alafu wanaume wa jf ni waongo jamani anajifanya moyo mpweke anajibebisha uko Bobo anakuita ili umpelekee chini tu

Asa we nae unawatoto 4 uko Italia mala Sudan[emoji119] ulivyo muongo afu eti Sina mke natak uwe mke wangu
Mtchewwww[emoji57] Apo Apo usipige cm nipo kazin mala saiv usik babe,babe ya nyoko[emoji25] MNITUE NA INBOX YNGU NAFUNGA

yani jf kwa kuact magenius kumbe makopo

Afu nawewe nikikuona umekomment hii post ntakuaibisha kwa kuniomba omba vocha eti unibembeleze usiku nilale ka pono[emoji57] kwanza umenshangaza toka lini mnyakyusa ukajitia mkorogo Tena mwanaume
Alokwambia natak kubembelezwa nilale kwani kufunga macho mi sijui

Yani jaman ukiomba mchumba jf shughuli ipo

Aaah wakaka awatak upendo kwanza first day wanatak [emoji97][emoji533]
Ukimwi hautaisha
MTU ata ujawai mwona
Humjui ndo first date na [emoji97][emoji533] unaomba [emoji57] chefu
Umezungusha sana ila wajuba tumeelewa,pole sana kwa kuzagamuliwa na kutemwa
 
Back
Top Bottom