Wanaume wa JF sio wakweli hata kidogo

Wanaume wa JF sio wakweli hata kidogo

Kwamba zetu zimewekwa mfuko wa shati? Shem nifanyie 50k hapo, najua unayo..sema utaninyima makusudi tu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Zenu zipo tu...Hata mfuko wa shati hazikosekani... sasa zetu zinakaa ndani ndani sana aisee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nadhani unaelewa...Kuzitoa ndiyo kipengele no.1 kinaanzia hapo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

He he he....kwamba ninayo nitakunyima makusudi? Unakosea Shem Darling.
 
Akifanya vizuri, sifa anapewa yeye huko huko pm na Whatsapp. Akizingua, lawama zinakuja kwa wanaume wote wa JF.

Anyway, umesema wanaume wa JF sio wakweli, kwani umetoka na wangapi ambao walikuwa kama sample space ya research yako?
Kama sample haifiki hata wanaume 100, basi hiyo itakuwa ni biased sample, na hiyo observation haiwezi kuwa concluded kama observation ya wanaume wote wa JF.
 
Nami Sikutaki baki tu na Darlin
Darlin nataka tu kumpa ushauri ili asije kuangukia kwenye mikono ya watu wenye tamaa wala sina nia mbaya hujanielewa tu vizuri usiwe na hasira bana
 
Back
Top Bottom