Wanaume wa JF sio wakweli hata kidogo

Wanaume wa JF sio wakweli hata kidogo

Una wendawazimu wewe sio bure na ulivyo kafupi unitie roba nimetulia tu 😒 😒 nakutia kwenzi unatulia na n.yege zako shwainnn😡
Utatulia tu, kwani huna genye na wewe 😅😅😅 sie wafupi tunajua kazi nitakufurahisha mbona vizuri tu hadi uniachie kila siku
 
Dada hapa ndani kuna vibaka wazoefu yani kuna vibenten, mabwawa wa kutosha kuna mijitu mingine uwez amini dude lina midevu linakuita shogaree mambo,
Eeh nkasema na moyo kwani nmeingia choo gani hiki.
Nimejikuta nacheka na kuogopa at the same time 😁😥
Ila kwenye wengi kuna mengi...siku ukiamua kufunguka tutastaajabu mengi huku ndani
 
Back
Top Bottom