Wanaume wa JF sio wakweli hata kidogo

Wanaume wa JF sio wakweli hata kidogo

Habari Iyola99 Umeandika ukiwa umegadhibika sana. Hata hivyo kuna vitu vya kuviweka sawa.

1. Umetumia neno wanaume wa JF kusema ni waongo, bila ku-specify kuwa waongo ni hao uliokutana nao najua haujakutana na wote. Kwenye mantiki(logic) kosa hilo linaitwa Hasty Generalization. Kwa kukuonesha hili, ziko nyuzi nyingi za shuhuda za watu waliopata wapenzi bora ndani ya JF.

2. Suala la kudanganyana kwenye 'Love game' ni suala la kawaida kokote pale. Obviously, kuna watu wengine ulikutana nao nje ya JF na mapenzi hayakuweza kufikia hatua nzuri. Hivyo ni kitu cha kawaida kwa mahusiano kufeli.

Namalizia kusema wanaume wa JF sio waongo kama ulivyodai, bali umekutana na waongo ambao unaweza kukutana nao sehemu yoyote.

Aidha nakutakia kila la kheri kupata mume bora ndani ya JF, ila uwe na uvumilivu kwenye utafutaji. Kizuri hakiji kirahisi.

Akhsante.
 
Elewa maana ya "Jamii" ni kama jamii ya mtaani kwako, kwani kuna malaika humu?
 
Sorry dada umekutana na hao wanaume wa Tiktok, sio JF. Wamevaa ngozi ya forum yetu kutupakazia tu. Wenyewe wanaume wa humu hatuwezi kukata simu ukitupigia. Ukikutana na sisi lazima tukupe raha mpaka uzae.
 
Habari Iyola99 Umeandika ukiwa umegadhibika sana. Hata hivyo kuna vitu vya kuviweka sawa.

1. Umetumia neno wanaume wa JF kusema ni waongo, bila ku-specify kuwa waongo ni hao uliokutana nao najua haujakutana na wote. Kwenye mantiki(logic) kosa hilo linaitwa Hasty Generalization. Kwa kukuonesha hili, ziko nyuzi nyingi za shuhuda za watu waliopata wapenzi bora ndani ya JF.

2. Suala la kudanganyana kwenye 'Love game' ni suala la kawaida kokote pale. Obviously, kuna watu wengine ulikutana nao nje ya JF na mapenzi hayakuweza kufikia hatua nzuri. Hivyo ni kitu cha kawaida kwa mahusiano kufeli.

Namalizia kusema wanaume wa JF sio waongo kama ulivyodai, bali umekutana na waongo ambao unaweza kukutana nao sehemu yoyote.

Aidha nakutakia kila la kheri kupata mume bora ndani ya JF, ila uwe na uvumilivu kwenye utafutaji. Kizuri hakiji kirahisi.

Akhsante.
May God bless you.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usifunge inbox baby nataka nije tuyamalize achana na hawa wazushi
 
Wanaume wa jf sio wakweli hata kidogo ,they are not real but full of acting.

Sijapenda embu niambie Kama unamke umeoa ulinifatia nini Bobo na kuniomba WhatsApp number and then usinipigie simu usiku nina mke Mara naogopa tutagombana.

Wakat inbox unanitongoza unadai upo single chefu[emoji25]
Halafu wanaume wa JF ni waongo jamani anajifanya moyo mpweke anajibebisha uko Bobo anakuita ili umpelekee chini tu

Sasa we nae unawatoto 4 uko Italia mala Sudan[emoji119] ulivyo muongo afu eti Sina mke nataka uwe mke wangu

Mtchewwww[emoji57] Hapo Hapo usipige simu nipo kazini mara sasa hivi usiku babe, babe ya nyoko[emoji25] MNITUE NA INBOX YANGU NAFUNGA

Yaani JF kwa kuact magenius kumbe makopo

Halafu nawewe nikikuona umekomment hii post ntakuaibisha kwa kuniomba omba vocha eti unibembeleze usiku nilale ka pono[emoji57] kwanza umenishangaza toka lini mnyakyusa ukajitia mkorogo Tena mwanaume
Alokwambia nataka kubembelezwa nilale kwani kufunga macho mi sijui

Yaani jamani ukiomba mchumba JF shughuli ipo

Aaah wakaka hawataki upendo kwanza first day wanataka [emoji97][emoji533]
Ukimwi hautaisha

MTU hata hujawai mwona. Humjui ndio first date na [emoji97][emoji533] unaomba [emoji57] chefu
Mbona unatoa povu hivyo umeshagawa mzigo tayari nini?
 
Wanaume wa jf sio wakweli hata kidogo ,they are not real but full of acting.

Sijapenda embu niambie Kama unamke umeoa ulinifatia nini Bobo na kuniomba WhatsApp number and then usinipigie simu usiku nina mke Mara naogopa tutagombana.

Wakat inbox unanitongoza unadai upo single chefu[emoji25]
Halafu wanaume wa JF ni waongo jamani anajifanya moyo mpweke anajibebisha uko Bobo anakuita ili umpelekee chini tu

Sasa we nae unawatoto 4 uko Italia mala Sudan[emoji119] ulivyo muongo afu eti Sina mke nataka uwe mke wangu

Mtchewwww[emoji57] Hapo Hapo usipige simu nipo kazini mara sasa hivi usiku babe, babe ya nyoko[emoji25] MNITUE NA INBOX YANGU NAFUNGA

Yaani JF kwa kuact magenius kumbe makopo

Halafu nawewe nikikuona umekomment hii post ntakuaibisha kwa kuniomba omba vocha eti unibembeleze usiku nilale ka pono[emoji57] kwanza umenishangaza toka lini mnyakyusa ukajitia mkorogo Tena mwanaume
Alokwambia nataka kubembelezwa nilale kwani kufunga macho mi sijui

Yaani jamani ukiomba mchumba JF shughuli ipo

Aaah wakaka hawataki upendo kwanza first day wanataka [emoji97][emoji533]
Ukimwi hautaisha

MTU hata hujawai mwona. Humjui ndio first date na [emoji97][emoji533] unaomba [emoji57] chefu
Mbona machukizo baby girl..umekosea tu kuwa mpole waaminifu tupo
 
Wanaume wa jf sio wakweli hata kidogo ,they are not real but full of acting.

Sijapenda embu niambie Kama unamke umeoa ulinifatia nini Bobo na kuniomba WhatsApp number and then usinipigie simu usiku nina mke Mara naogopa tutagombana.

Wakat inbox unanitongoza unadai upo single chefu[emoji25]
Halafu wanaume wa JF ni waongo jamani anajifanya moyo mpweke anajibebisha uko Bobo anakuita ili umpelekee chini tu

Sasa we nae unawatoto 4 uko Italia mala Sudan[emoji119] ulivyo muongo afu eti Sina mke nataka uwe mke wangu

Mtchewwww[emoji57] Hapo Hapo usipige simu nipo kazini mara sasa hivi usiku babe, babe ya nyoko[emoji25] MNITUE NA INBOX YANGU NAFUNGA

Yaani JF kwa kuact magenius kumbe makopo

Halafu nawewe nikikuona umekomment hii post ntakuaibisha kwa kuniomba omba vocha eti unibembeleze usiku nilale ka pono[emoji57] kwanza umenishangaza toka lini mnyakyusa ukajitia mkorogo Tena mwanaume
Alokwambia nataka kubembelezwa nilale kwani kufunga macho mi sijui

Yaani jamani ukiomba mchumba JF shughuli ipo

Aaah wakaka hawataki upendo kwanza first day wanataka [emoji97][emoji533]
Ukimwi hautaisha

MTU hata hujawai mwona. Humjui ndio first date na [emoji97][emoji533] unaomba [emoji57] chefu
Wamesha kunyandua, JF sio sehemu ya kuvua chupi yako kiboya
 
Pole bibie ila sasa ulitaka waombe nini jamani maana sio kaka zako hao!
Mwanamke kuombwa chini ni kawaida anakasirika ya nini sasa labda hana mzigo kwahiyo akiombwa anaona amedhihakiwa
 
Wamesha kunyandua, JF sio sehemu ya kuvua chupi yako kiboya
Disadivantageously law of attraction plays a vital role on her searching,

Little advice for her ni kua you get what you attract ,

4instanc kama angekua that much serious angetumia new ID, sababu what she has been writing on this forum a serious men will likely go through all of them,
And draw a net conclusion about the person he is about to go on a serious date with,

If most of her post was fanatic to idiotic behavior,she will probably attract play boys and bad people and the other way around.

Question for you Iyola99 have your previous post been in a polite way, argumentative, sarcastic Au zipoje ? Does they express well your personality?
Tafakari hayo utapata majibu and best of luck.
 
Na thread wameisoma, Ila wameogop kukoment nilikuw nasoma comment mojamoja
Mwitalia feki[emoji1787][emoji119] na mnyakyusa mkorogo.na wewe mkaka ulontumia pic ako dm na kijibagalashehe chako ka usama [emoji1787]
Skuingine msludie Tena kuwa wanafki na waongo
Mnaifanya jf kuwa Kama Facebook[emoji57]
Mi ndo kiboko yako!
Bisha.

Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
 
Na thread wameisoma, Ila wameogop kukoment nilikuw nasoma comment mojamoja
Mwitalia feki[emoji1787][emoji119] na mnyakyusa mkorogo.na wewe mkaka ulontumia pic ako dm na kijibagalashehe chako ka usama [emoji1787]
Skuingine msludie Tena kuwa wanafki na waongo
Mnaifanya jf kuwa Kama Facebook[emoji57]
Hee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Khaaaa,,,nani huyo Jamani Mnyakyusa mkorogo anatudhallsha Bure wanyaki??

Hadi muitaly[emoji23]
Na kijibalagashia chaaaaaa

Wataje wataje[emoji91][emoji91]

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Wanaume wa jf sio wakweli hata kidogo ,they are not real but full of acting.

Sijapenda embu niambie Kama unamke umeoa ulinifatia nini Bobo na kuniomba WhatsApp number and then usinipigie simu usiku nina mke Mara naogopa tutagombana.

Wakat inbox unanitongoza unadai upo single chefu[emoji25]
Halafu wanaume wa JF ni waongo jamani anajifanya moyo mpweke anajibebisha uko Bobo anakuita ili umpelekee chini tu

Sasa we nae unawatoto 4 uko Italia mala Sudan[emoji119] ulivyo muongo afu eti Sina mke nataka uwe mke wangu

Mtchewwww[emoji57] Hapo Hapo usipige simu nipo kazini mara sasa hivi usiku babe, babe ya nyoko[emoji25] MNITUE NA INBOX YANGU NAFUNGA

Yaani JF kwa kuact magenius kumbe makopo

Halafu nawewe nikikuona umekomment hii post ntakuaibisha kwa kuniomba omba vocha eti unibembeleze usiku nilale ka pono[emoji57] kwanza umenishangaza toka lini mnyakyusa ukajitia mkorogo Tena mwanaume
Alokwambia nataka kubembelezwa nilale kwani kufunga macho mi sijui

Yaani jamani ukiomba mchumba JF shughuli ipo

Aaah wakaka hawataki upendo kwanza first day wanataka [emoji97][emoji533]
Ukimwi hautaisha

MTU hata hujawai mwona. Humjui ndio first date na [emoji97][emoji533] unaomba [emoji57] chefu
Tatizo wadada mnaendekeza njaa sana kiasi kwamba mnapenda kudanganywa kwamba mtu mambo swafi ndo mnaingia Kingi
Pole binti kwa kudanganywa na kuliwa mbususu yako bure.
 
Back
Top Bottom