Wanaume wa JF sio wakweli hata kidogo

Wanaume wa JF sio wakweli hata kidogo

Uzi bila picha ni Uzi batili ata chats TU.
20221209_171121.jpg
 
Wanaume wa jf sio wakweli hata kidogo ,they are not real but full of acting.
Sjapenda embu niambie Kama unamke umeoa ulinifatia nn Bobo na kuniomba WhatsApp number and then usinipigie cm usiku ninamke Mara naogopa tutagombana
Wakat inbox unanitongoz unadai upo single chefu[emoji25]
Alafu wanaume wa jf ni waongo jamani anajifanya moyo mpweke anajibebisha uko Bobo anakuita ili umpelekee chini tu

Asa we nae unawatoto 4 uko Italia mala Sudan[emoji119] ulivyo muongo afu eti Sina mke natak uwe mke wangu
Mtchewwww[emoji57] Apo Apo usipige cm nipo kazin mala saiv usik babe,babe ya nyoko[emoji25] MNITUE NA INBOX YNGU NAFUNGA

yani jf kwa kuact magenius kumbe makopo

Afu nawewe nikikuona umekomment hii post ntakuaibisha kwa kuniomba omba vocha eti unibembeleze usiku nilale ka pono[emoji57] kwanza umenshangaza toka lini mnyakyusa ukajitia mkorogo Tena mwanaume
Alokwambia natak kubembelezwa nilale kwani kufunga macho mi sijui

Yani jaman ukiomba mchumba jf shughuli ipo

Aaah wakaka awatak upendo kwanza first day wanatak [emoji97][emoji533]
Ukimwi hautaisha
MTU ata ujawai mwona
Humjui ndo first date na [emoji97][emoji533] unaomba [emoji57] chefu
Mnatongozana na wavulana watoto wa mama halafu unasema wanaume.

Vijana wa hovyo wanawasumbua
 
babe ya nyoko
emoji25.png
Lazima utakuwa mjita au mkurya! japo siku ile tulipokutana sikuuliza, umekaa ki amri amri mnoo!! tena mjeshi sasa wewe nani akutake na Magwanda hayo ya mabakabaka! yaani siku ile mie nimekuona roho ikafanya Paaaaa!!!

Ke mjeda bana...akiolewa na Raia ni ameolewa! sasa weyeme jifanye mara unakunywa bia umechelewa kurudi jiandae kupigwa vibuti mpa ukome! tena kimya kimya! na husemi popote! make utachekwa waziiii!

Lyola99 jamani nawaonya ni mjeshi huyo dada
 
Back
Top Bottom