Wanaume wa humu mna dharau sana

Wanaume wa humu mna dharau sana

Habari za muda huu

Yaani wanaume wa humu sijajua ni dharau,ni Malaya,au wapoje kwasababu,kila mtu anakuona kama Malaya tu,mara oooh unatangaza biashara.

Mara sijui nini,kutongoza kwenyewe hawajui,mtu badala akubembeleze analazimisha kama vile anakujua,
Wengine ni kutamka pesa zao wakidhani kila mtu anavutika na pesa.

Jifunzeni kutongoza na kujieleza vizuri siyo kila mtu anapenda pesa.

Pesa tunapenda ndiyo lakini siyo za kuhongwa ndiyo maana tunafanya kazi.badilikeni
Test me
 
Wimbo wa zamani kidogo ila unatufaa sana enzi yetu.
Embu usikilize vizuri mleta mada , hutakosa mawili matatu.
 
Hakuna aliejitokeza kwenye mtoko wako ili atekwe?
Ni kima tu ambaye atakubali kuingizwa kingi kindezi hivi...kisa tamaa ya ****.
Vidume wengi humu cha msingi ni nauli kutokutumwa hata kama ni 500 ya daladala.
 
Back
Top Bottom