Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,232
- 62,317
Aya kula makande na mchichaMdudu?? Dah umenichoka silagi dhambi
Aya kula makande na mchichaMdudu?? Dah umenichoka silagi dhambi
huna hela ya kununua ndegeeeAya kula makande na mchicha
Wanawake kutongozwa kwenu ni fahari eeeh?Habari za muda huu
Yaani wanaume wa humu sijajua ni dharau,ni Malaya,au wapoje kwasababu,kila mtu anakuona kama Malaya tu,mara oooh unatangaza biashara.
Mara sijui nini,kutongoza kwenyewe hawajui,mtu badala akubembeleze analazimisha kama vile anakujua,
Wengine ni kutamka pesa zao wakidhani kila mtu anavutika na pesa.
Jifunzeni kutongoza na kujieleza vizuri siyo kila mtu anapenda pesa.
Pesa tunapenda ndiyo lakini siyo za kuhongwa ndiyo maana tunafanya kazi.badilikeni
Mboyoyo 😂😂We weka dau lako acha mboyoyo mingi
Oooh mi sio malaya! ya nn yote hayo? Ataje bei elekezi watu wajitoseMboyoyo 😂😂
Naniliu yako ni ya thamani Sana, ilinde kwa wivu Mkubwa sana sanaJifunzeni kutongoza na kujieleza vizuri siyo kila mtu anapenda pesa.
Lomon ni nyingi sanaOooh mi sio malaya! ya nn yote hayo? Ataje bei elekezi watu wajitose
Ww jiongeleshe lakini hutompata mtu humuOooh mi sio malaya! ya nn yote hayo? Ataje bei elekezi watu wajitose
Mwanamke kutongozwa bwanaaWanawake kutongozwa kwenu ni fahari eeeh?
😁😁😁Ww jiongeleshe lakini hutompata mtu humu
Sasa huku watafuta nn?😁😁😁
Yaan mimi nitafute mpenzi online?
Ohooo!!! NRNE🙌🙌🙌Sasa huku watafuta nn?
Karibu tumalizie usingiziKupatwa kwa Maria
Leo ni siku ya Pentecost, sisi wakatoliki tunaadhimisha ibada maalumu ya kumpokea Roho Mtakatifu kama tulivyoahidiwa na Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristu kwamba atatuletea msaidizi na roho ya kutuelekeza kuenenda katika njia iliyo ya kweli. Tunawakaribisha Watz wote muungane nasi katika kuienzi siku hii maalumu. AminaHabari za muda huu
Yaani wanaume wa humu sijajua ni dharau,ni Malaya,au wapoje kwasababu,kila mtu anakuona kama Malaya tu,mara oooh unatangaza biashara.
Mara sijui nini,kutongoza kwenyewe hawajui,mtu badala akubembeleze analazimisha kama vile anakujua,
Wengine ni kutamka pesa zao wakidhani kila mtu anavutika na pesa.
Jifunzeni kutongoza na kujieleza vizuri siyo kila mtu anapenda pesa.
Pesa tunapenda ndiyo lakini siyo za kuhongwa ndiyo maana tunafanya kazi.badilikeni
Mnaniuz na nrne hamjui tuOhooo!!! NRNE🙌🙌🙌
My ngoja nije dm Mimi Sina dharauHabari za muda huu
Yaani wanaume wa humu sijajua ni dharau,ni Malaya,au wapoje kwasababu,kila mtu anakuona kama Malaya tu,mara oooh unatangaza biashara.
Mara sijui nini,kutongoza kwenyewe hawajui,mtu badala akubembeleze analazimisha kama vile anakujua,
Wengine ni kutamka pesa zao wakidhani kila mtu anavutika na pesa.
Jifunzeni kutongoza na kujieleza vizuri siyo kila mtu anapenda pesa.
Pesa tunapenda ndiyo lakini siyo za kuhongwa ndiyo maana tunafanya kazi.badilikeni
Amina mtumishi,Leo ni siku ya Pentecost, sisi wakatoliki tunaadhimisha ibada maalumu ya kumpokea Roho Mtakatifu kama tulivyoahidiwa na Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristu kwamba atatuletea msaidizi na roho ya kutuelekeza kuenenda katika njia iliyo ya kweli. Tunawakaribisha Watz wote muungane nasi katika kuienzi siku hii maalumu. Amina