View attachment 3359800
KAMA KWELI HII PICHA NI YAKO 100K NLOKWAMBIA HAPANA, KULA 40K MAMTU
Mlipe VATHabari za muda huu
Yaani wanaume wa humu sijajua ni dharau,ni Malaya,au wapoje kwasababu,kila mtu anakuona kama Malaya tu,mara oooh unatangaza biashara.
Mara sijui nini,kutongoza kwenyewe hawajui,mtu badala akubembeleze analazimisha kama vile anakujua,
Wengine ni kutamka pesa zao wakidhani kila mtu anavutika na pesa.
Jifunzeni kutongoza na kujieleza vizuri siyo kila mtu anapenda pesa.
Pesa tunapenda ndiyo lakini siyo za kuhongwa ndiyo maana tunafanya kazi.badilikeni
Kwa avatar ya metal mada unafikiri ana sifa zilizo ktk huo wimbo? Unafikiri metal mada ndo kasoma hadi nje ya nchi? Sidhani kama anazidi elimu hata ya form fourWimbo wa zamani kidogo ila unatufaa sana enzi yetu.
Embu usikilize vizuri mleta mada , hutakosa mawili matatu.View attachment 3359833
Kwamba huku JF watu wanatafuta wapenzi?Sasa huku watafuta nn?
Wengine hatutongozi, tunaongoza.Habari za muda huu
Yaani wanaume wa humu sijajua ni dharau,ni Malaya,au wapoje kwasababu,kila mtu anakuona kama Malaya tu,mara oooh unatangaza biashara.
Mara sijui nini,kutongoza kwenyewe hawajui,mtu badala akubembeleze analazimisha kama vile anakujua,
Wengine ni kutamka pesa zao wakidhani kila mtu anavutika na pesa.
Jifunzeni kutongoza na kujieleza vizuri siyo kila mtu anapenda pesa.
Pesa tunapenda ndiyo lakini siyo za kuhongwa ndiyo maana tunafanya kazi.badilikeni
Dah nataman iwe hivoo ,sema wazazi wamesafiri na Mimi ni kama mlinz Leo nataman ningeenda kanisani,mniombee
Kweli ama naongea ukweliMbona unaniattack
Asante Kwa yote Mungu wa mbinguni akusameheAnaonekana ni wa uswahilini afu masikini wa kunuka
Hahahahaha. Hii kali we sema ,mwambie asione soo ,sijabadili mawazo yeye tuAsa tufanye kitu kimoja,. em hiyo 50k niwekee kwanza kwenye namba yangu wakati nambembeleza bibie aikubali hela kabla hujabadili mawazo😛😛😛
Hahahahaha,dahAnaonekana ni wa uswahilini afu masikini wa kunuka
Asante Kwa yote Mungu wa mbinguni akusamehe
Hiyo picha kwenye profile/ avatar kama ni yako basi nimesha ku evaluate na kuku analyze, sitaki kusema mengi nisije kukuvunjia heshima, cha muhumu kila kitu humu usichukulie serious.Habari za muda huu
Yaani wanaume wa humu sijajua ni dharau,ni Malaya,au wapoje kwasababu,kila mtu anakuona kama Malaya tu,mara oooh unatangaza biashara.
Mara sijui nini,kutongoza kwenyewe hawajui,mtu badala akubembeleze analazimisha kama vile anakujua,
Wengine ni kutamka pesa zao wakidhani kila mtu anavutika na pesa.
Jifunzeni kutongoza na kujieleza vizuri siyo kila mtu anapenda pesa.
Pesa tunapenda ndiyo lakini siyo za kuhongwa ndiyo maana tunafanya kazi.badilikeni
😁😁Upowapi Nina 100k hapa, ndio tongoza yangu hio, Yani unataka Kula hela yangu bado nikutembeleze?
😁😁😁Hili kama sio tangazo basi ni mtego.
kwani hao wanaume wenyewe wanasemaje 🤣🤣🤣🤣Habari za muda huu
Yaani wanaume wa humu sijajua ni dharau,ni Malaya,au wapoje kwasababu,kila mtu anakuona kama Malaya tu,mara oooh unatangaza biashara.
Mara sijui nini,kutongoza kwenyewe hawajui,mtu badala akubembeleze analazimisha kama vile anakujua,
Wengine ni kutamka pesa zao wakidhani kila mtu anavutika na pesa.
Jifunzeni kutongoza na kujieleza vizuri siyo kila mtu anapenda pesa.
Pesa tunapenda ndiyo lakini siyo za kuhongwa ndiyo maana tunafanya kazi.badilikeni
bhaaasi amekwisha 🤣🤣🤣🤣
We kuwa wazi tu kuna aliyemega tundra hakukupa hata senti! Sio unakuja kuwaangushia hasira wanaume wote humu JF.Habari za muda huu
Yaani wanaume wa humu sijajua ni dharau,ni Malaya,au wapoje kwasababu,kila mtu anakuona kama Malaya tu,mara oooh unatangaza biashara.
Mara sijui nini,kutongoza kwenyewe hawajui,mtu badala akubembeleze analazimisha kama vile anakujua,
Wengine ni kutamka pesa zao wakidhani kila mtu anavutika na pesa.
Jifunzeni kutongoza na kujieleza vizuri siyo kila mtu anapenda pesa.
Pesa tunapenda ndiyo lakini siyo za kuhongwa ndiyo maana tunafanya kazi.badilikeni