Wanaume wa humu mna dharau sana

Wanaume wa humu mna dharau sana

Huwa wanasemaga HELA kwanza,ndio tunaenda na hiyo ,yy aje tu 50K ipo nisije kuinywea bia bure 😂🤣
Asa tufanye kitu kimoja,. em hiyo 50k niwekee kwanza kwenye namba yangu wakati nambembeleza bibie aikubali hela kabla hujabadili mawazo😛😛😛
 
kwanza atatamani aikimbie id yake,. maana vijana watakuja kumfungulia uzi na mapdf ya hadi Lodge waliyoenda kunjunjana watayaweka hapa😂😂
mbaya zaidi kaweka uhalisia wake,awe mtulivu
 
Tukubembeleze we ni nani? Tukiitaka tunauziwa kwa buku mbili
 
Merry leo umeingia kwa kati km Aziz Ki 😹

makaveli10 why hubembelezi unataja dau? Mrembo hapendi, weka pesa na ujitahidi lugha nzuri…!! 🤣
 
Back
Top Bottom