Vituka
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 2,268
- 1,267
Ha ha ha, ukute ndio huyo huyo
Subiri utaja gundua
Lol!Hilo nalo neno!!!!
Ha ha ha, ukute ndio huyo huyo
Subiri utaja gundua
Hivi unategemea nini hayo makofi kwa siku nzima kwa huyo jamaa yako wa kwenye Avatar.
...ndio malavidavi hayo mkuu...au unaonaje?lol!
kuna siku nilitoa ombi langu la kutafuta mwenzi kwenye huu mtandao.walijitokeza watu wengi sana.
basi siku moja nikafanya appointment na mwanaume mmoja tukutane ili tujuane vizuri.tukapanga tukutane saa kumi na moja jioni pale steers!
mimi saa kumi na nusu nilikuwa pale,kumi na moja ikafika hajafika na nusu bado basi akatokea classmate wangu wa college,nilikuwa sijamuona siku nyingi kweli since nilivoenda nje kusoma 2009.tukapiga story nikaondoka nae tukahamia kiwanja kingine.tumetoka toka tumeamua kuingia kwenye relationship.
yule jamaa wa huku akaendelea kunisumbua ila sina feelings nae tena. mwanaume gani huwezi kukeep appiontment kwenye first date? nahukuru kwa kuchelewa pia maana huyu classmate wangu yuko very hot! hapa sibanduki! labda aniache.
kuna siku nilitoa ombi langu la kutafuta mwenzi kwenye huu mtandao.walijitokeza watu wengi sana.
basi siku moja nikafanya appointment na mwanaume mmoja tukutane ili tujuane vizuri.tukapanga tukutane saa kumi na moja jioni pale steers!
mimi saa kumi na nusu nilikuwa pale,kumi na moja ikafika hajafika na nusu bado basi akatokea classmate wangu wa college,nilikuwa sijamuona siku nyingi kweli since nilivoenda nje kusoma 2009.tukapiga story nikaondoka nae tukahamia kiwanja kingine.tumetoka toka tumeamua kuingia kwenye relationship.
yule jamaa wa huku akaendelea kunisumbua ila sina feelings nae tena. mwanaume gani huwezi kukeep appiontment kwenye first date? nahukuru kwa kuchelewa pia maana huyu classmate wangu yuko very hot! hapa sibanduki! labda aniache.
kuna siku nilitoa ombi langu la kutafuta mwenzi kwenye huu mtandao.walijitokeza watu wengi sana.
basi siku moja nikafanya appointment na mwanaume mmoja tukutane ili tujuane vizuri.tukapanga tukutane saa kumi na moja jioni pale steers!
mimi saa kumi na nusu nilikuwa pale,kumi na moja ikafika hajafika na nusu bado basi akatokea classmate wangu wa college,nilikuwa sijamuona siku nyingi kweli since nilivoenda nje kusoma 2009.tukapiga story nikaondoka nae tukahamia kiwanja kingine.tumetoka toka tumeamua kuingia kwenye relationship.
yule jamaa wa huku akaendelea kunisumbua ila sina feelings nae tena. mwanaume gani huwezi kukeep appiontment kwenye first date? nahukuru kwa kuchelewa pia maana huyu classmate wangu yuko very hot! hapa sibanduki! labda aniache.
Watu wanajishaua sana humu......anakwambia.....nipo hapa Kunduchi Beach napata gin kidogo.......kumbe yupo Hongera Bar.......chezeya JF wewe........[/QUOTE Mtambuzi alisema tuwe makini na watu wenye sura kama hii yako
Duh! kazungushwa mbuyu!hajui kama anamsifia mtu ambaye ndiyo alipanga tukio zima.Inawezekana huyo classmate ndiye mwanaJF mwenyewe...
copy to @FPNatJ mi hata naogopa kuongea naye kwa sababu sijaamini bado kilichotokea,halafu eti ananiambia yuko serious!!,jamani hivi tunakwenda wapi?,aaaaaaaaaah!NatJ kama unae mzuri nambie LOL kwa nini lakini nahangaika halafu we upo na unawajua wazuri na wenye tabia nzuri mamii?!,halafu hata humu Jamvini naona wako wazuri tatizo labda wameshawahiwa na wajanja duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuhhh!
Vua taiHili suala tulishamaliza kwenye PMs kwanini ulilete huku hadharani??????? si busara Mods iondoeni hii thread, sijapenda kwakweli
Inawezekana huyo classmate ndiye mwanaJF mwenyewe...
angalau ungemshukuru jamaa kwa kukuweka steers muda ule mpaka ukaibuka na dege lingine.ila na wewe haujatulia!!!!!!!!!!!!!!jamaa kuchelewa kidogo ukaibuka na dege lingine???????????
utafikiri hajui foleni za dar. huyu inatosha kujua tabia yake bila kuumiza kichwa. hafai kuwa mke labda hawala. mia
tukutane saa mbili aiseeHapana Mkuu hata kama unamuumiza Bana.
mbona mwenzake aliwahi?utafikiri hajui foleni za dar. huyu inatosha kujua tabia yake bila kuumiza kichwa. hafai kuwa mke labda hawala. mia
wanakaa sehemu tofauti na kila mmoja anaishi maisha yake. kama alikua kibaruani?. kwa ufupi huyu dada hana msimamo. miambona mwenzake aliwahi?