Wanaume wa huku muache mapozi

Wanaume wa huku muache mapozi

Labda alikuja kwa mbali kukikagua chumba bila kumuona mwenye nyumba akaona ni cha udongo ndo maana akasepa mazima
 
sakapal, first date unamkaribisha mtu kwako?? ama ni mimi nimezeeka...

Hapana hapo Retired Sister alikosea japo @ FP anasema alifanya hivyo, hujazeeka ila kwa fairness ni vizuri wote mkakutana open space au public place tena ambapo hapauzwi kilevi kama sehemu za coffe/tea snacks au juice cafee au garden and the like places.
 
Last edited by a moderator:
sorry baby..nilishindwa kuja. My uncle's cousin's sister in law's best friend's insurance agent's roommate's pet
goldfish died.
 
Hapana hapo Retired Sister alikosea japo @ FP anasema alifanya hivyo, hujazeeka ila kwa fairness ni vizuri wote mkakutana open space au public place tena ambapo hapauzwi kilevi kama sehemu za coffe/tea snacks au juice cafee au garden and the like places.
mi nataka sehemu ambayo nitakuwa comfortable.........
kma kwake iwe kwa wazazi wake, lol!
 
kuna siku nilitoa ombi langu la kutafuta mwenzi kwenye huu mtandao.walijitokeza watu wengi sana.
basi siku moja nikafanya appointment na mwanaume mmoja tukutane ili tujuane vizuri.tukapanga tukutane saa kumi na moja jioni pale steers!
mimi saa kumi na nusu nilikuwa pale,kumi na moja ikafika hajafika na nusu bado basi akatokea classmate wangu wa college,nilikuwa sijamuona siku nyingi kweli since nilivoenda nje kusoma 2009.tukapiga story nikaondoka nae tukahamia kiwanja kingine.tumetoka toka tumeamua kuingia kwenye relationship.
yule jamaa wa huku akaendelea kunisumbua ila sina feelings nae tena. mwanaume gani huwezi kukeep appiontment kwenye first date? nahukuru kwa kuchelewa pia maana huyu classmate wangu yuko very hot! hapa sibanduki! labda aniache.

Hili suala tulishamaliza kwenye PMs kwanini ulilete huku hadharani??????? si busara Mods iondoeni hii thread, sijapenda kwakweli
 
dada kumbuka kuna usemi usemao LIKUEPUKALO LINA KHERI NA WEWE.....so shukuru tu huyo mkuu wa jf hakutokea na badala yake ukamit na huyo classmate wako....! (ila mwisho wa siku ishukuru tu jf kwa kukufikisha hapo kupitia huyo mkuu)
kuna siku nilitoa ombi langu la kutafuta mwenzi kwenye huu mtandao.walijitokeza watu wengi sana.
basi siku moja nikafanya appointment na mwanaume mmoja tukutane ili tujuane vizuri.tukapanga tukutane saa kumi na moja jioni pale steers!
mimi saa kumi na nusu nilikuwa pale,kumi na moja ikafika hajafika na nusu bado basi akatokea classmate wangu wa college,nilikuwa sijamuona siku nyingi kweli since nilivoenda nje kusoma 2009.tukapiga story nikaondoka nae tukahamia kiwanja kingine.tumetoka toka tumeamua kuingia kwenye relationship.
yule jamaa wa huku akaendelea kunisumbua ila sina feelings nae tena. mwanaume gani huwezi kukeep appiontment kwenye first date? nahukuru kwa kuchelewa pia maana huyu classmate wangu yuko very hot! hapa sibanduki! labda aniache.
 
NatJ mi hata naogopa kuongea naye kwa sababu sijaamini bado kilichotokea,halafu eti ananiambia yuko serious!!,jamani hivi tunakwenda wapi?,aaaaaaaaaah!NatJ kama unae mzuri nambie LOL kwa nini lakini nahangaika halafu we upo na unawajua wazuri na wenye tabia nzuri mamii?!,halafu hata humu Jamvini naona wako wazuri tatizo labda wameshawahiwa na wajanja duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuhhh!

wazur mbona wapo wengi tu ndugu... Ukizingatia vigezo na mashart tu unawapata.
 
wazur mbona wapo wengi tu ndugu... Ukizingatia vigezo na mashart tu unawapata.

Vipi mamii nipe walau hata watatu hivi au nipe mmoja wa uhakika ambaye unamwamini,kigezo changu cha kwanza awe na tabia iliyotukuka,asiwe mapepe,halafu mrefu kidogo sio kwa maana ya wakati,na mwili unaoendena na urefu wake,sio mwembamba sana ama mnene kihivyo!!!.
 
dada kumbuka kuna usemi usemao LIKUEPUKALO LINA KHERI NA WEWE.....so shukuru tu huyo mkuu wa jf hakutokea na badala yake ukamit na huyo classmate wako....! (ila mwisho wa siku ishukuru tu jf kwa kukufikisha hapo kupitia huyo mkuu)

Hivi unategemea nini hayo makofi kwa siku nzima kwa huyo jamaa yako wa kwenye Avatar.
 
Wewe appointment unaweka Steers unafikiri kila mtu anafanya kazi migodini??

Pili umekuja kumtaarifu sasa kuwa upo na classmet wako?

Hee mbona mkali Mee wa Rula?Au wewe ndo uliuweka mdada wa watu afu hukutokea?Ha ha, hapo red kama vile kimekuuma ee
 
Back
Top Bottom