Wanaume wa huku muache mapozi

Wanaume wa huku muache mapozi

Yani nimeshanga sana Dada yangu huwezi amini nimeshikwa na Butwaa,unajua wengine wanafanya utani wakati wengine tuko Serious.na kama itafikia hapo sidhani kwama watawapata!!!

pole sana ndugu. Me sizani kama kuna mwanaume wa ukweli anayeweza kufanya utani wa namna hiyo, huyo jamaa anataka kuolewa kweli. Cha msingi we mwambie hautafuti sampuli hiyo unataka mwanamke wa ukweli nasi DUME JIKE..LOL.
 
ah wapi ulionaga wapi first date inakuwa kwenye nyumba ya mtu....neutral venue ndio mpango mzima

yeah mzabzab first date kama ni ya long relationship shurti iwe on public place na si home au guest au hotel room. Ukikutana na mtu anakwambia first date twende room au guest au home kwake au kwako au mahali kwa mshkaji wake make a note na chunguza most of time inakuwa for sex na ikiisha ndo basi hamna kujuana tena.
 
Last edited by a moderator:
Inawezekana huyo classmate ndiye mwanaJF mwenyewe...

hahahahahaaaaaa hiyo itakuwa sooo kama ikiwa ndo ivo loooh!!
Na kama ikiwa ndo hivyo basi atakuwa akija huku jf anandelea kukusumbua pm ile ukimkubalia tuu basi anajua wewe sio muaminifu na anakumwaga kotekote maana, inabidi Retired Sister uwe makini hapo.......
 
Last edited by a moderator:
Inawezekana huyo classmate ndiye mwanaJF mwenyewe...

Bosi, uko mawazoni mwangu, nilikuwa napita pita nisije nika-duplicate mambo!

Halafu jamaa anaendelea kusumbua ili aone msimamo ukoje! We mtu anakuja Steers na mambo yake, anakukuta mnaongea halafu unaondoka naye na mapenzi yanaanza.

Inabidi umakini uwepo, unaweza kuta jamaa anapondwa waziwazi ila hawezi kujitetea.
 
yeah mzabzab first date kama ni ya long relationship shurti iwe on public place na si home au guest au hotel room. Ukikutana na mtu anakwambia first date twende room au guest au home kwake au kwako au mahali kwa mshkaji wake make a note na chunguza most of time inakuwa for sex na ikiisha ndo basi hamna kujuana tena.

ah na unaenda gegedwa kweli na jamaa hataonekana tena
 
Last edited by a moderator:
nini ambacho huamini hapo au haikuingii akilini? sema tuu acha kuziba mdomo, pa kuongelea si ndo hapa?
sakapal, first date unamkaribisha mtu kwako?? ama ni mimi nimezeeka...
 
Last edited by a moderator:
uuwwwwiiiii, mimi sijui ndo ulikuwa ushamba!
firts date nyumbani tena mchana kweupe, kila mtu awepo.
na kukaa ni sitting room hakuna kuingia chumbani, lol!

na unamtabulishaje kwa hao waliokuwepo nyumbani?
 
huyo jamaa wa jf na yeye hakuwa serious.siku ya kwanza ni muhimu ku be on time.
 
classmate, lol!
tena akija tu naanza kutoa madaftari

kama ndio mie najidai naandika kitu kwenye daftari..."vipi papuchi nitapata au ndio mizenhwe nisepe zangu" alafu nakupa usome
 
kama ndio mie najidai naandika kitu kwenye daftari..."vipi papuchi nitapata au ndio mizenhwe nisepe zangu" alafu nakupa usome
na mimi nakujibu ni mizengwe tu, nakuhakikishia kuondoka hutaondoka, lol!
 
na mimi nakujibu ni mizengwe tu, nakuhakikishia kuondoka hutaondoka, lol!

labda kama miguu yangu una icotrol wewe lakini hapo mie tayari ni no no nasepa zangu.
 
pole sana ndugu. Me sizani kama kuna mwanaume wa ukweli anayeweza kufanya utani wa namna hiyo, huyo jamaa anataka kuolewa kweli. Cha msingi we mwambie hautafuti sampuli hiyo unataka mwanamke wa ukweli nasi DUME JIKE..LOL.

NatJ mi hata naogopa kuongea naye kwa sababu sijaamini bado kilichotokea,halafu eti ananiambia yuko serious!!,jamani hivi tunakwenda wapi?,aaaaaaaaaah!NatJ kama unae mzuri nambie LOL kwa nini lakini nahangaika halafu we upo na unawajua wazuri na wenye tabia nzuri mamii?!,halafu hata humu Jamvini naona wako wazuri tatizo labda wameshawahiwa na wajanja duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuhhh!
 
Utajuaje, labda huyo classmate ndio mwenye ahadi? Hizo message alikuwa ana-confirm kama aliyehama naye kiwanja ndie....
 
Mi huwa na wasiwasi sana na watafutaji wa mitandaoni

549107_287302961403553_1610646695_n.jpg
 
Back
Top Bottom