Wanaume wa huku muache mapozi

Wanaume wa huku muache mapozi

Smile hivi wewe tayari ulishampata?!,humu ndani Bwana kuna mtu kaniboa kweli,unajua mimi niko kwenye harakati za kuona nani atanifaa kwa sababu na ninyi mlishakuwa magumashi kweli,yani ni matatizo,kuna mwingine humu kasema anataka wa kumuoa ana miaka 23,lakini kumbe ni njemba sasa hii sijui inamaanisha nini?!,yani mi mpaka nachanganyikiwa!.


kuna njemba humu ilinitangazia dau la elfu 50000 eti nikaishikishe ukuta na accomodation juu yake??!! Hakika alinikera,yaani mwanaume unatoa hadi hela uingiliwe na mwanaume mwenzio??!! Huyu jamaa mpuuzi sana, yumo humu jf,maza Fanta zake!!!!
 
Mie hata sijakuelewa, hii umeiandika kama taarifa kwa wana JF ama unataka ushauri wao? Saa ingine najiuliza maswali kama haya; Je, ulitaka tujue kuwa mwaka 2009 ulienda nje kusoma? Ama je,unajinadi kwamba wewe ni wa Steers na si wa kukutana na mtu Temekeeeeee.... Mikoroshini? Au labda kuna unaowalingishia ya kuwa baada ya kuchoshwa na u_single, sasa umempata mchumba? Any way, mtizamo wangu si hitimisho, still you have freedom of speech! Acha nipite maana hata hivyo mie ni mpita njia tu, hapa sio mwenyeji!


Asilimimia mia haya ni maneno ya wivu.
 
kuna siku nilitoa ombi langu la kutafuta mwenzi kwenye huu mtandao.walijitokeza watu wengi sana.
basi siku moja nikafanya appointment na mwanaume mmoja tukutane ili tujuane vizuri.tukapanga tukutane saa kumi na moja jioni pale steers!
mimi saa kumi na nusu nilikuwa pale,kumi na moja ikafika hajafika na nusu bado basi akatokea classmate wangu wa college,nilikuwa sijamuona siku nyingi kweli since nilivoenda nje kusoma 2009.tukapiga story nikaondoka nae tukahamia kiwanja kingine.tumetoka toka tumeamua kuingia kwenye relationship.
yule jamaa wa huku akaendelea kunisumbua ila sina feelings nae tena. mwanaume gani huwezi kukeep appiontment kwenye first date? nahukuru kwa kuchelewa pia maana huyu classmate wangu yuko very hot! hapa sibanduki! labda aniache.

Angalia lakini, hata wahenga walisema usione ukazani................
 
Watu wanajishaua sana humu......anakwambia.....nipo hapa Kunduchi Beach napata gin kidogo.......kumbe yupo Hongera Bar.......chezeya JF wewe........
Preta umenichekesha mwenzio. Hongera bar.......ha ha haa
 
Last edited by a moderator:
Tuache utani. Hii thread yako inanikumbusha zamani kidogo nilivokua naanza kazi, nilikuwa nafanya kazi ya kudeal na wateja online. Si nikamtongoza dada mmoja alikuwa na sauti nzuri sana. Sasa siku ya siku tukapanga apointment, du kilitokea kitu cha ajabu, yule dada ni mbaya kwa sura kwa kweli. Uzuri tulikubaliana tukutane kituo cha basi, nikajificha kwa mbali nione anayepokea simu, nilikoma kabisa na sitorudia tena.
 
Tuache utani. Hii thread yako inanikumbusha zamani kidogo nilivokua naanza kazi, nilikuwa nafanya kazi ya kudeal na wateja online. Si nikamtongoza dada mmoja alikuwa na sauti nzuri sana. Sasa siku ya siku tukapanga apointment, du kilitokea kitu cha ajabu, yule dada ni mbaya kwa sura kwa kweli. Uzuri tulikubaliana tukutane kituo cha basi, nikajificha kwa mbali nione anayepokea simu, nilikoma kabisa na sitorudia tena.

Hahaha.....sina mbavu hapa.
 
mbona uliwai eneo la tukio namna hiyo .khaa ulikesha hapo au?

Hihi hihiiiii .. Smile bana... Eti ulikesha hapo, mtake radhi mwenzio lolz

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
sipendi longolongo

Jamaa jamaaaa... Kama sikosei wewe umesema ulikuwa nje kusoma(nahisi umesahau asili lolz).

We ulishindwa tu kumvulimia my jf brother. Coz SAA KUMI NA MOJA KWA MTZ NI KUMI NA MBILI.


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
we Black Bat hujui tu , usingemkwepa Retired Sister, ungeonana nae kisha ungempotezea baadae, ungemwambia umeona hamuendani, kisha ungeomba muwe frends tu.
 
Last edited by a moderator:
Sio vizuri, ina maana na sie wabaya wa sura mpaka shepu hatutapata wachumba!
Msitubague.
 
mbona uliwai eneo la tukio namna hiyo .khaa ulikesha hapo au?


Mhemko, alishafikiria namna mguso wa kwanza wa dhakari utakavyokuwa.
Alisaloa tangu aliposema anaendaa steers kukutana na mdau;
Mdau wa zinaa.

Bazazi!
 
hawana hata maana. toto umejikwatua wenyewe wanaleta miyeyusho.
 
Back
Top Bottom