Wanaume wa huku muache mapozi

Wanaume wa huku muache mapozi

kuna siku nilitoa ombi langu la kutafuta mwenzi kwenye huu mtandao.walijitokeza watu wengi sana.
basi siku moja nikafanya appointment na mwanaume mmoja tukutane ili tujuane vizuri.tukapanga tukutane saa kumi na moja jioni pale steers!
mimi saa kumi na nusu nilikuwa pale,kumi na moja ikafika hajafika na nusu bado basi akatokea classmate wangu wa college,nilikuwa sijamuona siku nyingi kweli since nilivoenda nje kusoma 2009.tukapiga story nikaondoka nae tukahamia kiwanja kingine.tumetoka toka tumeamua kuingia kwenye relationship.
yule jamaa wa huku akaendelea kunisumbua ila sina feelings nae tena. mwanaume gani huwezi kukeep appiontment kwenye first date? nahukuru kwa kuchelewa pia maana huyu classmate wangu yuko very hot! hapa sibanduki! labda aniache.
Retired Sister VS Black Bat
 
Last edited by a moderator:
Tuk tuk tuk tuk tuk wacha ncheke kibajaji manake hawa wa2 wanajieshua mwenzio kaponda et body yko aielewek kama ya layland au peugout.?
 
Teh teh.Ni wewe nini

Hebu fikiria we binti sayuni...yaan umekwenda kwa ajili ya appointment na Mr.X,from nowhere Mr.Y anatokea,unaamua kuanza nae,eti mnakua wapenzi.....duh....Huoni alama ya hatari hiyo???Huyo jamaa hajajua tu,ila Mungu kamuepushia na mengi asee!!!HUWEZI JUA,MAGONJWA MENGI ATI NWDAYS!!!by the way hujambo my beyb Zion Daughter
 
Last edited by a moderator:
Dada nakupongeza, umeonesha ukomavu wa hali ya juu, Ila ulikuwa karibia unaingia kwa GUMEGUME lisilojua maana ya mapenzi. Hakuna kitu kibaya kama kuwa na mahusiano na mwanaume ambaye hajiamini. Umeonesha ulikuwa na dhamira ya kweli ila huyo uliyetaka kwenda kuonana naye ndio tatizo. Mshukuru MUNGU kwa kukuletea huyo uliyenaye kwa sasa. Keep it UP!
Eti amejifanya kuja na thread ya kukuponda yenye title: Stori ya kweli kuhusu wadada wa JF. Tumemshitukia, yaani amejicholesha. Nakuombea mahusiano yako yawe na mwisho mwema.
 
utafikiri hajui foleni za dar. huyu inatosha kujua tabia yake bila kuumiza kichwa. hafai kuwa mke labda hawala. mia
Ana ujasiri ambao any man can think twice.Mapenzi yetu ya kibongo tumezoea kusumbuana.Ili siku ya mechi ujione mshindi. sasa huyu hata akiingia ndani huulizi mara mbili, ukigeuka utakuta keshatoa nguo zote kalala anakusubiri.kama hujapiga ulevi kidogo unaweza ukaanza kusogea mlangoni, tayari kwa kusepa.
 
retired sister,huyo date wako kaandika thread kukuhusu wewe kasema hajavutiwa kabisa na mwonekano wako hivyo akala kona!kwa jinsi maelezo yake yalivyo inaonekana mwonekano wako ni kama huyu dada hapa chini!je unakanusha???au unakubali?????

bonge lenyewe.jpg
 
retired sister,huyo date wako kaandika thread kukuhusu wewe kasema hajavutiwa kabisa na mwonekano wako hivyo akala kona!kwa jinsi maelezo yake yalivyo inaonekana mwonekano wako ni kama huyu dada hapa chini!je unakanusha???au unakubali?????

View attachment 91081

dahh mbona mtoto mrembo tu!! njoo kwang mama kama huyu kazingua
 
retired sister pole sana.what doesnt kill you,make you stronger ,hapa JF ni vitoto ndio vinahusika sana na love connect
 
Back
Top Bottom