Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,845
- 52,252
Si umwambie tu kama una nyege!!!
nadhani haujakutana na mwanaume pasua kichwa bado...
Si umwambie tu kama una nyege!!!
Mwanamke hajawahi kuridhika tangu kuumbwa kwa ulimwengu...unaweza ukamfanyia yote hayo na mengine ya ziada kwa upendo wa dhati..akikaa na mashoga zake saloon anakucheka ujinga...tena anawaambia "shosti nina msukule wangu..yaani nisikohoe kidogo tu huyu hapa...yaani nimemuweka kwenye kiganja..hasemi wala hakohoi mbele yangu...au mnabisha..??"..hapo tena ndio wewe unapigiwa simu oooh! Mwenzio hata sijielewi yaani hapa nilipo kichwa sio kichwa tumbo sio tumbo yaani ili mradi karaha tu..nipo sinza hapa saloon...basi mzee unaaga kazini kuwa umepata dharula na kukimbila sinza..unamkuta katulia tuli huku anaanza kudeka huku akiwa konyeza mashost zake kuwa mmeuona msukule wangu..??....
Dah!!...kwa ntindo huo nimeamua serikali yangu naiongoza kidikteta.....na ukakamavu ndio kauli mbiu...hutaki unapita kule..
Dont underestimate me mama!nadhani haujakutana na mwanaume pasua kichwa bado...
Tatizo lenu nyie mkikaa na mashoga zenu mnatucheka ujinga...kwangu hakuna nafasi ya kudeka kama ukijisikia kudeka ukadeke kwa wazazi wako hapa hakuna wa kumdekea....kwanza muda wenyewe hautoshi kuwaza mitikasi huku unawaza kulibembeleza jitu zima..............kuna mwanaume anaeridhika?
hata arudi umpokee umvue nguo umuogeshe ummassage...umpe pole umpikie chakula kizuri..
umlambe pu.mb.u..
umkatikie kiuno ..
ushuke umkande na Maji vuguvugu umpatie juis..
maananina bado atakuona ---- na atakengeuka tu...
Hicho ni kipaji ndugu sio lazima uende depo..........Kiongozi umejiunga lini na JWTZ?
Tatizo lenu nyie mkikaa na mashoga zenu mnatucheka ujinga...kwangu hakuna nafasi ya kudeka kama ukijisikia kudeka ukadeke kwa wazazi wako hapa hakuna wa kumdekea....kwanza muda wenyewe hautoshi kuwaza mitikasi huku unawaza kulibembeleza jitu zima..............
Dont underestimate me mama!
Naamini hakuna linaloshindikana katika maisha!Pole lakini....basi haukuwa na sababu ya kuandika ulichoandika.
Na mimi nikiumwa simsumbui mtu....natembea na dawa zangu...nikiona dalili mbaya naenda mwenyewe hospital.........basi na nyie mkiumwa mkauguzwe na kudeka kwa mama zenu.
Mwanamke hajawahi kuridhika tangu kuumbwa kwa ulimwengu...unaweza ukamfanyia yote hayo na mengine ya ziada kwa upendo wa dhati..akikaa na mashoga zake saloon anakucheka ujinga...tena anawaambia "shosti nina msukule wangu..yaani nisikohoe kidogo tu huyu hapa...yaani nimemuweka kwenye kiganja..hasemi wala hakohoi mbele yangu...au mnabisha..??"..hapo tena ndio wewe unapigiwa simu oooh! Mwenzio hata sijielewi yaani hapa nilipo kichwa sio kichwa tumbo sio tumbo yaani ili mradi karaha tu..nipo sinza hapa saloon...basi mzee unaaga kazini kuwa umepata dharula na kukimbila sinza..unamkuta katulia tuli huku anaanza kudeka huku akiwa konyeza mashost zake kuwa mmeuona msukule wangu..??....
Dah!!...kwa ntindo huo nimeamua serikali yangu naiongoza kidikteta.....na ukakamavu ndio kauli mbiu...hutaki unapita kule..
ha ha ha mama kuna mtu ukimwambia hujaonesha kunijali atakwambia unajiendekeza!kuna wa ile dizain umelala unaumwa basi hata kukujulia hali unaendeleaje hamna na ole wako uulize wewe ndo mkorofi!social status zinazoendana ni muhimu kwa kweli!
beware of the bull from the front, a donkey from behind and women from all sides
bora Huyo asiyejali ugonjwa kuliko asiyejali genye....
Katiba yangu inasisitiza ukakamavu na kugangamala...
Ni mwendo wa mguu pande mguu sawa...hayo mambo ya kubembelazana kama yai yalishapitwa na wakati tangu enzi za kutongozana na kipigiana misele...
Sasa hivi tunaongozana kwa mujibu wa katiba uliyoikuta madarakani...
sasa kama mtu kafika hatua hajali genye unasubiri nini?kuna uhusiani hapo?
Swadakta...mtu kama anaumwa maduka ya dawa anayajua akanunue dawa anywe asonge mbele....sasa unaniambia mimi...kwani mimi dokta...??hii ndio katiba inayotakiwa kufuatwa na wanaume wote...hakuna mambo ya tamthilia
Huwa nawaokoteza huku huku manzese..na buguruni malapa...Hehehe ila na wewe bwana. Unatoa wapi mke anaekuwa saluni saa za kazi? Au umemuoa wema sepetu?