Wanaume wa hivi ni hovyo

Wanaume wa hivi ni hovyo

Koma mwenyewe kama topic inakuboa kakojoe ukalale mfyuuuuuu

Mbona unakurupuka, hajasema 'koma' , kasema komaa, yaani ukaze buti, kakushauri kwa upendo wewe unamtukana, ndiyo maana mme wako akaku ignore. Hovyo
 
Njoo kwangu, nitakujali sana nitakuimbia hadi nyimbo na kukusimulia hadithi za Sindelela...
 
Kaka yawezekana jamaa ana sababu za msingi kabisa hawa wapinzani wa jadi tuna kazi nao ati, mtu mjeuri, hasikii, hashauriki, ila unakuta ukiwa mkali msamaha hapo hapo halafu ndani ya siku tatu
huyu karudia sasa kama mtu ana focus future asee anapotezea tu kwani nini haswa!!!


Hiyo inaitwa kifungo cha nje, yaani kaa tulee watoto!!!!
Ukiwa strict utaambiwa mnoko au complicated, ukijali sana utaambiwa too good to be a husband, ukikomaa na yako utaambiwa una dharau sana siku hizi, yaani bira pumzi ipo akiwa pasua kichwa automatically hamu inakata tu

kama yuko hivi halafu haelewi kwanini hujali genye zake basi ni zaidi ya kichwa maji!!!
 
Leo naomba niwaongelee wanaume wenye tabia hii.

Hivi inakuwaje mfano mkeo/partner unae lala nae kitanda kimoja anakuamsha usiku anakwambia mpenzi naumwa unamtazama unamwambia "pole".

Kisha unageukia upande wa pili unalala mpaka asubuhi.Hujali hata kuuliza ni nini kinachomsibu mwenzio na unawezaje kumsaidia.

Ngoja sasa aumwe yeye, mtoto wa kike ataamka, atamtengenezea chai kama anahitaji hata supu atapika na ikibidi atamuogesha.

Hivi wanaume hamfikiriagi kuwa na wanawake nao wanahitaji huruma na ukarimu na kupendwa especially wakiwa hawasikii vizuri.

Kama mwanaume unavyojisikia raha ukiletewa kikombe cha chai kitandani ukiwa unaumwa basi na mwenzio atasikia raha vile vile ukimfanyia jema.

Haya basi kupika huwezi basi hata kauli laini huna, mpaka aumwe vipi ndo awe anaumwa sana mpaka umjali au mpaka akifa ndo utajua alikuwa anaumwa sana.

Mtu unapaswa ujifunze mwenzio anapenda nini kutoka kwenye yale mema anayokufanyia, ukimfanyia hivyo na yeye atafurahi. Baadhi ya wanaume wanadhani wakishatoa hela nyumbani then basi, hela ni za muhimu lakini sio kila kitu, wanaume wa hivi hovyo.

Nimekusikia ila usipende kunisema hadharani.. bora ungeniambia tulipokuwa faragha ningekuelewa.
 
Leo naomba niwaongelee wanaume wenye tabia hii.
Hivi inakuwaje mfano mkeo/partner unae lala nae kitanda kimoja anakuamsha usiku anakwambia mpenzi naumwa unamtazama unamwambia "pole".
Kisha unageukia upande wa pili unalala mpaka asubuhi.Hujali hata kuuliza ni nini kinachomsibu mwenzio na unawezaje kumsaidia.
Ngoja sasa aumwe yeye, mtoto wa kike ataamka, atamtengenezea chai kama anahitaji hata supu atapika na ikibidi atamuogesha.
Hivi wanaume hamfikiriagi kuwa na wanawake nao wanahitaji huruma na ukarimu na kupendwa especially wakiwa hawasikii vizuri.
Kama mwanaume unavyojisikia raha ukiletewa kikombe cha chai kitandani ukiwa unaumwa basi na mwenzio atasikia raha vile vile ukimfanyia jema.
Haya basi kupika huwezi basi hata kauli laini huna, mpaka aumwe vipi ndo awe anaumwa sana mpaka umjali au mpaka akifa ndo utajua alikuwa anaumwa sana.
Mtu unapaswa ujifunze mwenzio anapenda nini kutoka kwenye yale mema anayokufanyia, ukimfanyia hivyo na yeye atafurahi. Baadhi ya wanaume wanadhani wakishatoa hela nyumbani then basi, hela ni za muhimu lakini sio kila kitu, wanaume wa hivi hovyo.
Utakuwa unanisema mimi kwani ndo nimeumbwa hivyo na kinacho niuma zaidi hasa pale unashinda salama ikifika usiku ndo unazidiwa dah au ukisikia nina shughuli ya kuondoka nyumbani basi wewe ndo unaugua ili nisiondoke lkn haya ndo maisha tuliyochagua. Punguza kuugua usiku huitendei haki ofisi yako kwani huo ndo muda wa kudisplay your competitive advantage!
 
hehehee
:lol:

:nono::nono::nono:

Kifungo cha nje umri huu. Mungu akikujaalia miaka mingine 40 ya umri, daah.
Nimekusoma mara sita sijaelewa ujue, nataka niombe msamaha fastaaa
Kaka yawezekana jamaa ana sababu za msingi kabisa hawa wapinzani wa jadi tuna kazi nao ati, mtu mjeuri, hasikii, hashauriki, ila unakuta ukiwa mkali msamaha hapo hapo halafu ndani ya siku tatu
huyu karudia sasa kama mtu ana focus future asee anapotezea tu kwani nini haswa!!!

Hiyo inaitwa kifungo cha nje, yaani kaa tulee watoto!!!!
Ukiwa strict utaambiwa mnoko au complicated, ukijali sana utaambiwa too good to be a husband, ukikomaa na yako utaambiwa una dharau sana siku hizi, yaani bira pumzi ipo akiwa pasua kichwa automatically hamu inakata tu
 
kama yuko hivi halafu haelewi kwanini hujali genye zake basi ni zaidi ya kichwa maji!!!
Wapo kaka wameaminishwa kuwa "penzi" linamaliza ugomvi au kutoelewana na mashosti wakimwambia ye mzuri huko job baas anaona kama wanaume wooote wakiambiwa habari ya ku doo wana surrender sasa wengine tukiwa na hasira halafu huyo bi dada akianza kuji babyisha ndio kichefuchefu kinapanda kabisaaa
 
Wapo kaka wameaminishwa kuwa "penzi" linamaliza ugomvi au kutoelewana na mashosti wakimwambia ye mzuri huko job baas anaona kama wanaume wooote wakiambiwa habari ya ku doo wana surrender sasa wengine tukiwa na hasira halafu huyo bi dada akianza kuji babyisha ndio kichefuchefu kinapanda kabisaaa
Teh teh teh teh ! Nimempata pacha wangu!
 
hehehee
:lol:

:nono::nono::nono:

Kifungo cha nje umri huu. Mungu akikujaalia miaka mingine 40 ya umri, daah.
Nimekusoma mara sita sijaelewa ujue, nataka niombe msamaha fastaaa

Ha ha haaaa utaelewa tu ukimuona muheshimiwa jaji anashusha miwani na kuanza " ili iwe fundisho kwa wengine wenye muenendo kama wako. . . . . . . . .

Umri huo ndio haswa kifungo cha nje kinahusika ili uendelee kutunza watoto wasio na hatia. . . . . . .Huku unatumikia zao la matendo yako
 
Dah!, aisee nawashauri wanaume wenzangu msifanye haya anayetaka huyu dada mwenye hii post, wanawake wa huko duniani ni sawa unaweza kuwafanyia hivyo na likaongeza zaidi chachu ya mapenzi ila sio wanawake wa kiafrika hususani watanzania kwani ipo siku utalia machozi ya damu.

Ninachojua mimi sio kwamba wanaume hatupendi kufanya hivyo ila tunaogopa namna wenzetu wanavyopokea na kutafsiri hilo jambo, ukiwafanyia hivyo kwanza watakuona mume ----- halafu akishanogewa na huduma zako ili usiache atakwendea kwa babu ili uzidishe zaidi na mwisho wa siku utakuta hata kazini huendi kisha mkeo anaumwa hivyo unamsaidia kazi za ndani. Pia atakutangaza kwa wenzake na kwa michepuko yake kuwa ameshakuteka akili, pia ukizoea sana mwisho inakuwa tabia na mtaanza kupangiana ratiba ya usafi ndani.

Japo sio wanawake wote wanaweza kufanya hivyo ila ni taadhari tu maana hakuna alama inayowatenganisha kuwa huyu anaweza kulichukulia jambo positive or negative. Wanawake wa kibongo hasa dada zetu wa siku hizi hata hawaeleweki, ukiwa na pesa watakuambia lakini mapenzi huna, ukiwa maskini watakudharau lakini watakuona mapenzi ya dhati unayo japo mfukoni upo empty.
 
mi naona ninaingia kwenye kundi uliloita wa hovyo maana kama ni usiku na issue sio ya hospitali nitahoji tu panaumaje kama kuna solution nasaidia ila kama issue ni ya kesho na hana dalili ya kufa nalala ili niwahi kuamka . asubuhi tutaendelea kuuguzana. Wanawake wanatuona tu hawajui nature ya kazi zetu wanaamini unaweza tokatoka tu au pigapiga simu, somasoma meseji hovyo na tufacebook
 
Leo naomba niwaongelee wanaume wenye tabia hii.

Hivi inakuwaje mfano mkeo/partner unae lala nae kitanda kimoja anakuamsha usiku anakwambia mpenzi naumwa unamtazama unamwambia "pole".

Kisha unageukia upande wa pili unalala mpaka asubuhi.Hujali hata kuuliza ni nini kinachomsibu mwenzio na unawezaje kumsaidia.

Ngoja sasa aumwe yeye, mtoto wa kike ataamka, atamtengenezea chai kama anahitaji hata supu atapika na ikibidi atamuogesha.

Hivi wanaume hamfikiriagi kuwa na wanawake nao wanahitaji huruma na ukarimu na kupendwa especially wakiwa hawasikii vizuri.

Kama mwanaume unavyojisikia raha ukiletewa kikombe cha chai kitandani ukiwa unaumwa basi na mwenzio atasikia raha vile vile ukimfanyia jema.

Haya basi kupika huwezi basi hata kauli laini huna, mpaka aumwe vipi ndo awe anaumwa sana mpaka umjali au mpaka akifa ndo utajua alikuwa anaumwa sana.

Mtu unapaswa ujifunze mwenzio anapenda nini kutoka kwenye yale mema anayokufanyia, ukimfanyia hivyo na yeye atafurahi. Baadhi ya wanaume wanadhani wakishatoa hela nyumbani then basi, hela ni za muhimu lakini sio kila kitu, wanaume wa hivi hovyo.

Hatuwaani, mnajifanyisha makusudi ili kutuwekea zamu za lazima!
 
Leo naomba niwaongelee wanaume wenye tabia hii.

Hivi inakuwaje mfano mkeo/partner unae lala nae kitanda kimoja anakuamsha usiku anakwambia mpenzi naumwa unamtazama unamwambia "pole".

Kisha unageukia upande wa pili unalala mpaka asubuhi.Hujali hata kuuliza ni nini kinachomsibu mwenzio na unawezaje kumsaidia.

Ngoja sasa aumwe yeye, mtoto wa kike ataamka, atamtengenezea chai kama anahitaji hata supu atapika na ikibidi atamuogesha.

Hivi wanaume hamfikiriagi kuwa na wanawake nao wanahitaji huruma na ukarimu na kupendwa especially wakiwa hawasikii vizuri.

Kama mwanaume unavyojisikia raha ukiletewa kikombe cha chai kitandani ukiwa unaumwa basi na mwenzio atasikia raha vile vile ukimfanyia jema.

Haya basi kupika huwezi basi hata kauli laini huna, mpaka aumwe vipi ndo awe anaumwa sana mpaka umjali au mpaka akifa ndo utajua alikuwa anaumwa sana.

Mtu unapaswa ujifunze mwenzio anapenda nini kutoka kwenye yale mema anayokufanyia, ukimfanyia hivyo na yeye atafurahi. Baadhi ya wanaume wanadhani wakishatoa hela nyumbani then basi, hela ni za muhimu lakini sio kila kitu, wanaume wa hivi hovyo.
shida zako za nyumbani zinakufanya uone wanaume wengine wako kama huyo wako,hiyo ni tabia ya huyo wako tuu,na chakukusikitisha ni kwamba hamna mwingine mwenye tabia kama za huyo wako!!
 
watoto wanapenda asali, hawapendi ukali .ukimdekeza atakufanya tambara la deke money@ honey
 
Back
Top Bottom