pierre tall
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,259
- 3,756
Kwa hiyo alivyokuamsha kutaka mzigo ndo ukaumwa ghafla??
Koma mwenyewe kama topic inakuboa kakojoe ukalale mfyuuuuuu
Kaka yawezekana jamaa ana sababu za msingi kabisa hawa wapinzani wa jadi tuna kazi nao ati, mtu mjeuri, hasikii, hashauriki, ila unakuta ukiwa mkali msamaha hapo hapo halafu ndani ya siku tatu
huyu karudia sasa kama mtu ana focus future asee anapotezea tu kwani nini haswa!!!
Hiyo inaitwa kifungo cha nje, yaani kaa tulee watoto!!!!
Ukiwa strict utaambiwa mnoko au complicated, ukijali sana utaambiwa too good to be a husband, ukikomaa na yako utaambiwa una dharau sana siku hizi, yaani bira pumzi ipo akiwa pasua kichwa automatically hamu inakata tu
Leo naomba niwaongelee wanaume wenye tabia hii.
Hivi inakuwaje mfano mkeo/partner unae lala nae kitanda kimoja anakuamsha usiku anakwambia mpenzi naumwa unamtazama unamwambia "pole".
Kisha unageukia upande wa pili unalala mpaka asubuhi.Hujali hata kuuliza ni nini kinachomsibu mwenzio na unawezaje kumsaidia.
Ngoja sasa aumwe yeye, mtoto wa kike ataamka, atamtengenezea chai kama anahitaji hata supu atapika na ikibidi atamuogesha.
Hivi wanaume hamfikiriagi kuwa na wanawake nao wanahitaji huruma na ukarimu na kupendwa especially wakiwa hawasikii vizuri.
Kama mwanaume unavyojisikia raha ukiletewa kikombe cha chai kitandani ukiwa unaumwa basi na mwenzio atasikia raha vile vile ukimfanyia jema.
Haya basi kupika huwezi basi hata kauli laini huna, mpaka aumwe vipi ndo awe anaumwa sana mpaka umjali au mpaka akifa ndo utajua alikuwa anaumwa sana.
Mtu unapaswa ujifunze mwenzio anapenda nini kutoka kwenye yale mema anayokufanyia, ukimfanyia hivyo na yeye atafurahi. Baadhi ya wanaume wanadhani wakishatoa hela nyumbani then basi, hela ni za muhimu lakini sio kila kitu, wanaume wa hivi hovyo.
Utakuwa unanisema mimi kwani ndo nimeumbwa hivyo na kinacho niuma zaidi hasa pale unashinda salama ikifika usiku ndo unazidiwa dah au ukisikia nina shughuli ya kuondoka nyumbani basi wewe ndo unaugua ili nisiondoke lkn haya ndo maisha tuliyochagua. Punguza kuugua usiku huitendei haki ofisi yako kwani huo ndo muda wa kudisplay your competitive advantage!Leo naomba niwaongelee wanaume wenye tabia hii.
Hivi inakuwaje mfano mkeo/partner unae lala nae kitanda kimoja anakuamsha usiku anakwambia mpenzi naumwa unamtazama unamwambia "pole".
Kisha unageukia upande wa pili unalala mpaka asubuhi.Hujali hata kuuliza ni nini kinachomsibu mwenzio na unawezaje kumsaidia.
Ngoja sasa aumwe yeye, mtoto wa kike ataamka, atamtengenezea chai kama anahitaji hata supu atapika na ikibidi atamuogesha.
Hivi wanaume hamfikiriagi kuwa na wanawake nao wanahitaji huruma na ukarimu na kupendwa especially wakiwa hawasikii vizuri.
Kama mwanaume unavyojisikia raha ukiletewa kikombe cha chai kitandani ukiwa unaumwa basi na mwenzio atasikia raha vile vile ukimfanyia jema.
Haya basi kupika huwezi basi hata kauli laini huna, mpaka aumwe vipi ndo awe anaumwa sana mpaka umjali au mpaka akifa ndo utajua alikuwa anaumwa sana.
Mtu unapaswa ujifunze mwenzio anapenda nini kutoka kwenye yale mema anayokufanyia, ukimfanyia hivyo na yeye atafurahi. Baadhi ya wanaume wanadhani wakishatoa hela nyumbani then basi, hela ni za muhimu lakini sio kila kitu, wanaume wa hivi hovyo.
Kaka yawezekana jamaa ana sababu za msingi kabisa hawa wapinzani wa jadi tuna kazi nao ati, mtu mjeuri, hasikii, hashauriki, ila unakuta ukiwa mkali msamaha hapo hapo halafu ndani ya siku tatu
huyu karudia sasa kama mtu ana focus future asee anapotezea tu kwani nini haswa!!!
Hiyo inaitwa kifungo cha nje, yaani kaa tulee watoto!!!!
Ukiwa strict utaambiwa mnoko au complicated, ukijali sana utaambiwa too good to be a husband, ukikomaa na yako utaambiwa una dharau sana siku hizi, yaani bira pumzi ipo akiwa pasua kichwa automatically hamu inakata tu
Wapo kaka wameaminishwa kuwa "penzi" linamaliza ugomvi au kutoelewana na mashosti wakimwambia ye mzuri huko job baas anaona kama wanaume wooote wakiambiwa habari ya ku doo wana surrender sasa wengine tukiwa na hasira halafu huyo bi dada akianza kuji babyisha ndio kichefuchefu kinapanda kabisaaakama yuko hivi halafu haelewi kwanini hujali genye zake basi ni zaidi ya kichwa maji!!!
Teh teh teh teh ! Nimempata pacha wangu!Wapo kaka wameaminishwa kuwa "penzi" linamaliza ugomvi au kutoelewana na mashosti wakimwambia ye mzuri huko job baas anaona kama wanaume wooote wakiambiwa habari ya ku doo wana surrender sasa wengine tukiwa na hasira halafu huyo bi dada akianza kuji babyisha ndio kichefuchefu kinapanda kabisaaa
hehehee
:lol:
:nono::nono::nono:
Kifungo cha nje umri huu. Mungu akikujaalia miaka mingine 40 ya umri, daah.
Nimekusoma mara sita sijaelewa ujue, nataka niombe msamaha fastaaa
Teh teh teh teh ! Nimempata pacha wangu!
Mchepuko!
Leo naomba niwaongelee wanaume wenye tabia hii.
Hivi inakuwaje mfano mkeo/partner unae lala nae kitanda kimoja anakuamsha usiku anakwambia mpenzi naumwa unamtazama unamwambia "pole".
Kisha unageukia upande wa pili unalala mpaka asubuhi.Hujali hata kuuliza ni nini kinachomsibu mwenzio na unawezaje kumsaidia.
Ngoja sasa aumwe yeye, mtoto wa kike ataamka, atamtengenezea chai kama anahitaji hata supu atapika na ikibidi atamuogesha.
Hivi wanaume hamfikiriagi kuwa na wanawake nao wanahitaji huruma na ukarimu na kupendwa especially wakiwa hawasikii vizuri.
Kama mwanaume unavyojisikia raha ukiletewa kikombe cha chai kitandani ukiwa unaumwa basi na mwenzio atasikia raha vile vile ukimfanyia jema.
Haya basi kupika huwezi basi hata kauli laini huna, mpaka aumwe vipi ndo awe anaumwa sana mpaka umjali au mpaka akifa ndo utajua alikuwa anaumwa sana.
Mtu unapaswa ujifunze mwenzio anapenda nini kutoka kwenye yale mema anayokufanyia, ukimfanyia hivyo na yeye atafurahi. Baadhi ya wanaume wanadhani wakishatoa hela nyumbani then basi, hela ni za muhimu lakini sio kila kitu, wanaume wa hivi hovyo.
shida zako za nyumbani zinakufanya uone wanaume wengine wako kama huyo wako,hiyo ni tabia ya huyo wako tuu,na chakukusikitisha ni kwamba hamna mwingine mwenye tabia kama za huyo wako!!Leo naomba niwaongelee wanaume wenye tabia hii.
Hivi inakuwaje mfano mkeo/partner unae lala nae kitanda kimoja anakuamsha usiku anakwambia mpenzi naumwa unamtazama unamwambia "pole".
Kisha unageukia upande wa pili unalala mpaka asubuhi.Hujali hata kuuliza ni nini kinachomsibu mwenzio na unawezaje kumsaidia.
Ngoja sasa aumwe yeye, mtoto wa kike ataamka, atamtengenezea chai kama anahitaji hata supu atapika na ikibidi atamuogesha.
Hivi wanaume hamfikiriagi kuwa na wanawake nao wanahitaji huruma na ukarimu na kupendwa especially wakiwa hawasikii vizuri.
Kama mwanaume unavyojisikia raha ukiletewa kikombe cha chai kitandani ukiwa unaumwa basi na mwenzio atasikia raha vile vile ukimfanyia jema.
Haya basi kupika huwezi basi hata kauli laini huna, mpaka aumwe vipi ndo awe anaumwa sana mpaka umjali au mpaka akifa ndo utajua alikuwa anaumwa sana.
Mtu unapaswa ujifunze mwenzio anapenda nini kutoka kwenye yale mema anayokufanyia, ukimfanyia hivyo na yeye atafurahi. Baadhi ya wanaume wanadhani wakishatoa hela nyumbani then basi, hela ni za muhimu lakini sio kila kitu, wanaume wa hivi hovyo.