64Bits
JF-Expert Member
- Aug 4, 2012
- 961
- 565
- Thread starter
- #41
Mie King'asti umenielewa vizuri sana. Nami nimekusoma kabisaaa comments zakoKwa hiyo mkeo akikuletea chai kitandani unamuona kama roboti? (Najiulizisha tu manake kwa mtazamo wako sidhani kama hata tei tei unafuliwa wewe ). Nimesema toka mwanzo, shida ni malezi. Mie niliyedekezwa na babangu Mtambuzi, nikitoka shule nasimulia hadi peni ilipogoma kuandika ananiambia pole chukua hii yangu. Ungenipa shida tu wewe.
Mkeo nae anagangamala. Kwani ukimuambia pole mpenzi utapungukiwa sh ngapi? By the way, mwanaume unatakiwa kudekea mkeo tu. Mwenza wangu akiwa na stress na asiniambie, ugomvi wake sijui Mungu asimamie kwa mlangoni?
Muache si anajidai kamanda? Mapenzi yamehamishiwa instagram yeye hajui anapambana na wahindi alete hela nyumbani? Hehehe kweli dunia hadaa. Take what you give.
Last edited by a moderator: