KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,770
- 39,537
Haya mambo yanatokana zaidi na malezi. Mwenza aliekulia kwenye familia ambayo hakuna anaemjali mwingine na kila mmoja anajihudumia kama wanyama msituni, hawezi kuona umuhimu wa kujali na hata hagundui kwamba yeye amehudumiwa kwa upendo.
Una wajibu wa kumsaidia kubadilika. Ukiumwa asipouliza unaunwa nini muambie gently hujaonyesha kunijali. Muambie naomba chai, naomba unipeleke hospitali etc. Muda unavyozidi kwenda atajigundua na kuanza kufanya bila kuombwa. Ila kama wewe ni mtu wa kujali sana matendo ya upendo, usiolewe na mtu mwenye social status tofauti na yako. Utaishia kudekea waume ama wake wa majirani zako afu itakuwa mbaya.
Mambo....