ney kush
JF-Expert Member
- Feb 16, 2012
- 1,416
- 947
ushawapanulia sana mapaja ..?Hataa 66 wazitoo
ushawapanulia sana mapaja ..?Hataa 66 wazitoo
Sanaaa tena zaidiiii ya sanaaaaushawapanulia sana mapaja ..?
Ndiyo maana dada zenu wanajazwa mimba dar kwa upopoyoyo kama huu wa kufungua thread za kijinga.
Mimba mujaze nyinyi!!!!!!....mpaka mnywe supu ya pweza na kuongezea vumbi congo
Thubutu, wanatokanazo mikowani kuwabambikia nyinyi wa Dalisalama msioweza kutia mimba.... Ili mlee
Ukipima DNA tofauti

We kuja Dar unapanda punda?
Kuinua gari ili ubadili tairi unatumia kalio?
Mkuu huyo jamaa uliyemquote hujamuelewa.We kuja Dar unapanda punda?
Kuinua gari ili ubadili tairi unatumia kalio?
Mkuu huyo jamaa uliyemquote hujamuelewa.
Hapo kaorodhesha vitu ambavyo hata mwanaume wa mkoani lazima avifanye kwa kutumia nyenzo. Hapo ni kudhihirisha kuwa kuna vitu lazima utumie nyenzo kuvifanya tofauti na mleta uzi ambaye amewanyoshea kidole wanaume wa Dar kwa ujumla.
Pia sio kwamba wanaume wa Dar wanashindwa kumenya Miwa, huku ni mjini na usafi unazingatiwa ndio maana kuna watu mahsusi wa kumenya au kukamua miwa ili kurahisisha hali ya usafi maana takataka mumenyaji anazihifadhi na kwenda kuzitupa sehemu maalum lakini walio wengi huko mkoani ni bush kama picha inavyoonesha jambo ambalo usafi sio kivile kama mjini ndio maana hawaoni ajabu kutupa taka taka ovyo huku wakijinasibu ni vinara wa kumenya miwa.
Kipindu pindu kinasababishwa na uchafu wa msalia ya miwa pekee?Mkuu usafi dalisalama?
Kweli?.....hicho kipundupindu mbona hakiishi?
Vyoo hutapishwa mvua zikinyesha
Wanaume wa Dalisalama..... MUNGU anawaona kuchafua mazinigira
Kipindu pindu kinasababishwa na uchafu wa msalia ya miwa pekee?
Nyie semeni wanaume wa dar walegevu ivoivo mi shakutana nae mmoja na amezaliwa na kukulia dar bwana hiyo shughuli yake SIITAKI,
Palipo na masalia ya miwa, ukayatoa na kusafisha hiyo sehemu, huo sio usafi?Umesema dalisalama kusafi kwasababu mnazingatia kanuni
Hebu isome tena post yako ya awali Mh ukielewa urudi kujadili
Si umtafute mmoja wao uwape mumeo/mkeoHataa 66 wazitoo
Umesahau jamaa yenu wa kolomijeKua mkweli dar kuna mshamba kama huyo?ukiangalia vizuri huyo ni msukuma au mnyakusya
Nishawapa ndyo matokeo yake hayooSi umtafute mmoja wao uwape mumeo/mkeo
Palipo na masalia ya miwa, ukayatoa na kusafisha hiyo sehemu, huo sio usafi?
Hapa tunazungumzia miwa maana ndio mada iliyopo mezani