Wanaume wa dar hii too much

Wanaume wa dar hii too much

Naombeni mfanye utafiti wa kitaalamu na wa kuridhisha kubaini ukweli juu ya hoja yenu.

Ila mkibaki kutumia mifano midogo midogo isiyokuwa na uhalisia hapo mnakuwa mnadanganya.

Kwenye huo utafiti ndio uangalie kwa upana jinsi unavyosema ili kupata majibu sahihi.

Pia mkumbeke kuwa asilimia kubwa ya hao wanaume wa Dar wametokea mikoani.
Hapo hoja nadhani sio ulegelege wa wanaume wa Dar bali ni wivu tu wa jamaa hao kwa kuona wenzao wanatumia zaidi machine kwenye idara nyingi kurahisisha mambo. Kuna wale wanaomini kwakua yeye alisoma kwa taabu ya kutembea maili nyingi kwenda shula. basi na mwanae lazima apitie mateso yaleyale japokuwa zama zimebadilika. Na pengine tafsiri ya maendeleo inatofautiana kati ya jamii moja na nyingine.
 
Mkuu huyo jamaa uliyemquote hujamuelewa.

Hapo kaorodhesha vitu ambavyo hata mwanaume wa mkoani lazima avifanye kwa kutumia nyenzo. Hapo ni kudhihirisha kuwa kuna vitu lazima utumie nyenzo kuvifanya tofauti na mleta uzi ambaye amewanyoshea kidole wanaume wa Dar kwa ujumla.

Pia sio kwamba wanaume wa Dar wanashindwa kumenya Miwa, huku ni mjini na usafi unazingatiwa ndio maana kuna watu mahsusi wa kumenya au kukamua miwa ili kurahisisha hali ya usafi maana takataka mumenyaji anazihifadhi na kwenda kuzitupa sehemu maalum lakini walio wengi huko mkoani ni bush kama picha inavyoonesha jambo ambalo usafi sio kivile kama mjini ndio maana hawaoni ajabu kutupa taka taka ovyo huku wakijinasibu ni vinara wa kumenya miwa.
Mzee naona wewe ndo ulinielewa vizuri. Hawa jamaa matumizi ya machine kwao ni uleglege
 
Hii post nimeanza kuipita muda mrefu sikuielewa.

Shukrani mkuu kwa post nzuri
Aisee nimefurahi sana kwa kunielewa. Nimeona wengi hasa hawa wanaojisifu kubakia kwenye karne iliyopita hawakuelewa kabisaa.
 
Kwanini tujipe tabu na kumiza meno wakati mzungu karahisisha mambo.. Kaeni na ushamba wenu na kizugio cha uwanaume wa mkoani
 
Hao hao wa mikoani wakija hapa hawakawii kuwa mashoga, mifano mingi tu.
 
Marehemu Kaoge alizaliwa na kukulia Musoma akiitwa God kademu, baadaye alihamia Mwanza ndo baadaye akahamia Dsm. Akiwa Mwanza liishi Kirumba kwenye nyumba za mashoga, mara kadhaa akitembelew n mwlimu wke ambye ndo alimfundisha ushoga.

Sent from my itel P51 using JamiiForums mobile app
 
hahahhah huu uzi unaishara zote za ushamba na kutokujua dunia inapoelekea
 
Back
Top Bottom