Wanaume wa dar hii too much

Wanaume wa dar hii too much

Mvua zimechanganya mikoani ila unashangaa wapo JF wanashindana ku-post ivi mashamba mnaandaa muda gani,sisi tunasaka sarafu ili tuwatume mulime kwa tabia hii tutawakaushia maana hamko serious mjue,vijana wa mikoani wana sonono hasa wakiona bata za Tanzania uku wanatamani kuja ila vyuma sasa
 
Mvua zimechanganya mikoani ila unashangaa wapo JF wanashindana ku-post ivi mashamba mnaandaa muda gani,sisi tunasaka sarafu ili tuwatume mulime kwa tabia hii tutawakaushia maana hamko serious mjue,vijana wa mikoani wana sonono hasa wakiona bata za Tanzania uku wanatamani kuja ila vyuma sasa

Nani analima usiku huu?

Ngoja tuwapashe saa hizi asubuhi tunaingia shambani
 
Nani analima usiku huu?

Ngoja tuwapashe saa hizi asubuhi tunaingia shambani

Komaa ulime ndio pumzi yako na ukipata pesa njoo usafishe macho ila muda huu ulitakiwa upumzike asubuhi uwahi shamba sasa.
 
Komaa ulime ndio pumzi yako na ukipata pesa njoo usafishe macho ila muda huu ulitakiwa upumzike asubuhi uwahi shamba sasa.

Nisipo lima, wine atakuteseni huko dalisalama

Hataki kuagiza nafaka nje.....tutakomaa

Ili ndugu zetu wanaume wa Dalisalama msivunje familia
 
Sasa mbona juice ya embe na chungwa husemi.?? Au nayo tuna meno legevu

Embe la village linaliwa likiwa hai

Hayo machungwa na maembe ya dalisalama yanawafaa wanaume wa huko....masalo hayo

Yameisha chakaaa...lainiiiii prior to decaying
 
Sio juice ya Miwa tu. Hata Muwa wenyewe tunanunua ushamenywa!
 
Back
Top Bottom