Haina shida mana mnachangamsha majukwaa ili jamii forum isichokwe izidi kupendwaNishawapa ndyo matokeo yake hayoo
ExactlyHaina shida mana mnachangamsha majukwaa ili jamii forum isichokwe izidi kupendwa
Namjua kinaga ubaga,,,,
Naombeni mfanye utafiti wa kitaalamu na wa kuridhisha kubaini ukweli juu ya hoja yenu.Mkuu ukiambiwa unatazama kwa mapana yake
Maudhui ni ulegevu na ulaini wa wanaume wa Dalisalama kwa mambo mengi
Huyu mtaalam katumia ile kitu wataalam wa kishwahili wanasema Tamathali za semi
Mafumbo na tafsida..baini.... Takriri nk
Naombeni mfanye utafiti wa kitaalamu na wa kuridhisha kubaini ukweli juu ya hoja yenu.
Ila mkibaki kutumia mifano midogo midogo isiyokuwa na uhalisia hapo mnakuwa mnadanganya.
Kwenye huo utafiti ndio uangalie kwa upana jinsi unavyosema ili kupata majibu sahihi.
Pia mkumbe kuwa asilimia kubwa ya hao wanaume wa Dar wametokea mikoani.
Mkuu wakifika dalisalama
wanakengeuka
Wanabadili lafudhi
Wanadili sura
Wanavaa kata k
Wanatembea kisharobaro
Wanasuka nywele
Wanavaa heleni
Wanavaa pin puwani
Wanakuwa mdebwedo
Hao ndo wanaume wa Dalisalama
Shiiida mwishowe wanapoteza kila kitu mpaka nguvu za kiume khaa
Ahsante kwa kuweka wazi chimbuko la hawa mnaowaita wanaume wa Dar.
Kwa hiyo inaonesha kuwa wanaume wa Mikoani hawana msimamo, mnabadilika kama kinyonga kulingana na mazingira.
Ebu anzeni kujilaumu kwanza kwa kukosa misimamo kabla hamjaanza kuwalaumu hawa waliotoka huko wakaja huku.
Ndio maana nimekuambia fanya utafiti uchambue wanaume wahamiaji na wazawa wa Dar halafu ndio utoe jibu lako.
Hapa cancer ni kuwa ninyi mumekosa misimamo, kwa nini mubadilike mkienda sehemu fulani?Mkuu sisi tuliobaki huku ndo wenyewe....wamikowani
Tunawaskitieni ndugu zetu wa Dalisalama mnavotupa asili yenu....mnakuwa mdebwedo....
Sisi tuliosalia huku mikowani tuko fiti....
Mnasumbuliwa na watoto wenu (panya road)..wa Dalisalama shida sana, vitoto?!
Haivumiliki hata viazi vitamu mpaka mumwagie chills source mamweee
Hapa cancer ni kuwa ninyi mumekosa misimamo, kwa nini mubadilike mkienda sehemu fulani?
Kubadilika ni jambo zuri kulingana na mazingira lakini sio kwa sifa hizi ambazo hata ninyi mnaona hazifai.
Mimi nitaendela kuwalaumu ninyi kwa kutokuwa na misimamo. Najua hata wewe ukihamia huku utabadilika pia.
Nimekukumbuka binti, ni mimi. Si ndio ulikimbia ukasahau bi**ni. Ila kwa sasa nimerudi mkoaniNyie semeni wanaume wa dar walegevu ivoivo mi shakutana nae mmoja na amezaliwa na kukulia dar bwana hiyo shughuli yake SIITAKI,
Sio wote wanaobadilika mkuu kama wewe ambavyo hukubadilika.Hapana mkuu mimi niligoma kubadilika
Nimeishi ubungo
Sinza kwa mgabe
Kinondoni manyanya
Kigamboni...uwanja wa machava pale mitaa ya jeshini njia ya kulekea mji mwema
Nikaona hovyo kabisa nikarudi mikowani kulinda heshima ya mwafrika/mwanaume wa kweli, ugali wa mtama au dona
Viazi vitamu, mlenda, ngogwe, ukwaju, mfulu, ntalali, salasi, ubuyu, asali nk
Zaidi kulima kwa bidii ili ndugu zetu wa Dalisalama msiadhilike kwa njaa,......wine hataki kuagiza nafaka....mtakimbia familia ndugu zetu.
Sio wote wanaobadilika mkuu kama wewe ambavyo hukubadilika.
Msiwe mnasema hili jambo kwa ujumla ilihali ushahidi wa kutobadilika kwa baadhi mnao wenyewe.
Itoe itupe uendelee na biashara yako.Nyanya moja inapooza ndani ya tenga
Huo mtama hausagwi?? Kweli wewe wa call me jTunakula ugali wa matama
Maziwa mgando
Kisanvu na nswalu au sansa zilizungwa karanga
Hayo mafuta yenu ya korie hukohuko dalisalama



Huo mtama hausagwi?? Kweli wewe wa call me j![]()
Tunapenda kutumia akili kurahisisha kazi zetu unakunywa fasta unaendelea na mishetown sasa hilo lipingili la mua mpaka ulimalize mambo mengi yatakua yamekupita

Ndiyo mnavyojidanganya hivyoMimba mujaze nyinyi!!!!!!....mpaka mnywe supu ya pweza na kuongezea vumbi congo
Thubutu, wanatokanazo mikowani kuwabambikia nyinyi wa Dalisalama msioweza kutia mimba.... Ili mlee
Ukipima DNA tofauti
Kila wa Dar anaweza kuinua hiyo jack hata mtoto wa primary aliyelelewa kinguvu. Sijui wenzetu mnamaanisha kuinua vipi au na kalioTatizo hiyo jack kuinuwa huwezi.....mpaka awepo wa mkowani ndo ashughulike
Mikono laini kama dada zetu, wanaume wa Dalisalama shiiida