Sio juice ya Miwa tu. Hata Muwa wenyewe tunanunua ushamenywa!
Mwanaume unamenyewa muwa hee mkuu khatari
Hapo bahari pateni japo supu ya pweza na mpigage mswaki kwa miswaki ya wamasai kuimarisha meno
Sio juice ya Miwa tu. Hata Muwa wenyewe tunanunua ushamenywa!
Kweli kabisa. Mtu timamu hawezi kujisifu ustaarabu kama wa Nyani!
Hapo kwenye nswalu ,nsasa,plus karanga lohhhh mie huku mdomo unameza mate tu wajameni......Mkuu ukifika huku
Ugali wa mtama hakuna ubwabwa, wali, biliani wala pilau.... Hakuna chips yai huku...fully asilia
Mziwa mgando, matembele, kisanvu, swalu, sansa viungo karanga sio korie
Mlenda kwa mbali na ngogwe....mwanamke hatarudi dalisama jinsi ndoa inavoimarika
Wanyakyusa kumbe sie washamba hivyo!?Kua mkweli dar kuna mshamba kama huyo?ukiangalia vizuri huyo ni msukuma au mnyakusya
Hapo kwenye nswalu ,nsasa,plus karanga lohhhh mie huku mdomo unameza mate tu wajameni......
Wanyakyusa kumbe sie washamba hivyo!?
Wanaume wa Dar wanashindana na madada zao kupaka wanja, kuvaa hereni, kukalkiti nywele..!!
MmmmhWatafune wataweza......labda wapate msaada wa vumbi la congo
Ulibebwa wakakushindwaHataa 66 wazitoo
We kuja Dar unapanda punda?Ni kweli kabisa wanaume wa Dar si tu wanakamuliwa juisi, bali hata wakitaka kwenda Morogoro wanapanda basi au gari binafsi, pia hata wakianzisha miradi ya kilimo wenye uwezo wanatumia matrekta. Nimeona pia hata gari ikipata pancha wanatumia jeki kuinua gari wakati wa kubadilisha tairi
Hata chooni wanatumia maji,wa mkoani wanachambia makaratasi na majani.Wa dar wananawa Kabla ya kula huku wa mkoani wanakula bila kunawa.Ni kweli kabisa wanaume wa Dar si tu wanakamuliwa juisi, bali hata wakitaka kwenda Morogoro wanapanda basi au gari binafsi, pia hata wakianzisha miradi ya kilimo wenye uwezo wanatumia matrekta. Nimeona pia hata gari ikipata pancha wanatumia jeki kuinua gari wakati wa kubadilisha tairi
Wanaume wa mikoani mnajisifu kula Muwa tena pande refu hivyo.
Hii post nimeanza kuipita muda mrefu sikuielewa.Ni kweli kabisa wanaume wa Dar si tu wanakamuliwa juisi, bali hata wakitaka kwenda Morogoro wanapanda basi au gari binafsi, pia hata wakianzisha miradi ya kilimo wenye uwezo wanatumia matrekta. Nimeona pia hata gari ikipata pancha wanatumia jeki kuinua gari wakati wa kubadilisha tairi
Ni kweli kabisa wanaume wa Dar si tu wanakamuliwa juisi, bali hata wakitaka kwenda Morogoro wanapanda basi au gari binafsi, pia hata wakianzisha miradi ya kilimo wenye uwezo wanatumia matrekta. Nimeona pia hata gari ikipata pancha wanatumia jeki kuinua gari wakati wa kubadilisha tairi
wanaum wa dar bhnHata chooni wanatumia maji,wa mkoani wanachambia makaratasi na majani.Wa dar wananawa Kabla ya kula huku wa mkoani wanakula bila kunawa.