Bueno
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 34,609
- 59,655
Mkaanda upi unataka uniuzie?Nimeshaona fursa hapa,, mje mnunue mikanda nauza The Icebreaker Mwachiluwi Kambi ya Fisi Pendaelli Ambivert88 😌😌,, bei sawa na bure😃
Mkaanda upi unataka uniuzie?Nimeshaona fursa hapa,, mje mnunue mikanda nauza The Icebreaker Mwachiluwi Kambi ya Fisi Pendaelli Ambivert88 😌😌,, bei sawa na bure😃
Wapo, tena wapo wengi tu kwa sasa. Mbunye zinauzwa, baadhi yenu mpo mnasubiria tu. Kilichopo ni kuwaasa wanaume waache tamaa za fisi coz wauzaji wapo so desperate.Sasa kuna mwanamke anagegedwa kirahisi hivo kweli??
Nyie mbinguni moja kwa moja hata mkifa hamuozi mkuusisi wanaume wa Madongo kuporomoka huku Matombo hii haituhusu...
Ungemtunuku tu ameelewa maungio yako hapo nyuma, umekosea kumtosa mumeoWala sio kijana kiivo mkuu.
Miaka 40 ni kijana huyo??
Labda alikuja kupata Mwanaume mwingine mwenye mkanda mzuri zaidi.Leo kaona mkanda mbaya ila kipindi anamgea namba hakuona mkanda kuwa mbaya.
Nini kimebadilika Hadi akaona Mkanda wa mwanetu mbaya mara viatu kaam satin wa kukausha.
Au ndo Msukule recognizes Msukule.
Kwako NYPD.
#Ripoti iweke hapa hapa😂😂
Sana nyie mbinguni moja kwa mojaKumbe unatupenda
Siwezi kuishi maisha ya kula chios mayai aiseeee.... tena mnavyo sisitiza kwa mpikaji eti "isikauke" sawa....😜Ushakuwa mwanaume wa dar sawa
Price tag Mzee kila mtu ana Bei yake kitumbua kile kileWapo, tena wapo wengi tu kwa sasa. Mbunye zinauzwa, baadhi yenu mpo mnasubiria tu. Kilichopo ni kuwaasa wanaume waache tamaa za fisi coz wauzaji wapo so desperate.
Kwani sina?? Kwani natafuta?Labda alikuja kupata Mwanaume mwingine mwenye mkanda mzuri zaidi.
😀
Wanakunywa juice ya mua .tena wanadai wawekewe na limao na tangawiziSiwezi kuishi maisha ya kula chios mayai aiseeee.... tena mnavyo sisitiza kwa mpikaji eti "isikauke" sawa....[emoji12]
Upo sahihi, price tag!Price tag Mzee kila mtu ana Bei yake kitumbua kile kile
Sasa malalamiko ya nini km mwanaume unae?Kwani sina?? Kwani natafuta?
Naunga mkono hoja mkuu....😊Wanakunywa juice ya mua .tena wanadai wawekewe na limao na tangawizi
Hizi dharau ndio maana nlihama Dar😎😎Unakutana na mwanaume wa dar njiani. Upo zako hai hai kufanya mambo yako ya maana.anakusimamisha dada salamu ehee naomba dakika 10 tukae mahali tuongee.mind you ana no yako na hata unapoishi anapajua.
Hapo ukimzoom mkanda aliovaa na viatu na saa unajua tu huyu ana deni songesha na mpawa.
Niwashauri wanaume wa dar maana mkoani ni wastaarabu wanaomba appointment kabisa siku flani dada naweza kupata muda niongee na wewe?? Au lini utanipa muda.
Nyie wa dar unakutana na mtu umsimamishe unajua mtu ana shughuli gani?? Kwanza kama anakoenda kachelewa je??
Bei baba Bei nyamachoma ya tandale kwa tumbo sio sawa na nyamachoma ya KFC au pale MCity, Miss Natafuta amepigwa na vumbi uso umepauka kakutana na mtu anaefanana nae kamuelewa kwamba huyu Mimi nammudu analeta malalamiko na mikogo kibaoUpo sahihi, price tag!
Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.
Ahahhaah wewe si umesema mwanaume wa dar kababu unakul?Siwezi kuishi maisha ya kula chios mayai aiseeee.... tena mnavyo sisitiza kwa mpikaji eti "isikauke" sawa....😜
Usisahau na hizo boksa za elfu kumi na mbili.Nimeshaona fursa hapa,, mje mnunue mikanda nauza The Icebreaker Mwachiluwi Kambi ya Fisi Pendaelli Ambivert88 [emoji18][emoji18],, bei sawa na bure[emoji2]
Nipo my friend,,, za masiku 😊🤗upo?
Aisee 😂😂😂😂🤣🤣🤣🙌Na viatu vya maana mkuu.mbona mchina katoa design nzuri tu 35 elfu hadi 50.
Mtu anavaa kiatu cha mtumba vha mzungu cha elfu 7 eti ni ngozi.kiatu cha mwaka 1950