nadiegirlie
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 573
- 850
Miyaaaa moyaZote ngap 1?
Miyaaaa moyaZote ngap 1?
😃😃😃 Aloooo kwanza nchekeMiyaaaa moya
nilimpa kistaarabu namba yangu na hata alipokuja mbali sana nilimwambia acha yaani you are too forward, unaniambia unanipenda unataka nikujibu nini na si feel chochote kwako ndio hivyo nafika home eti umefika mke wangu looooh nikablock maana kunisikiliza hakutaka kabisaKuna wanaume ni wa kweli direct, unakuta kasha vurugwa hivyo akikutana na mwanamke anajilipua kabisa hataki kuzungushwa mwaka , maana wadada mnatuweka benchi alafu kitumbua unampa mtu wa hovyo kabisa...
Jamaa kaamua kurisk . Ungempa hata namba kistaarabu alafu uwe unampima kimnya kimnya
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji2][emoji2][emoji2] Aloooo kwanza ncheke
Ndio nini sasa ukaniblock ?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mtu ambae ana namba yako na unapokaa anapajua na bado anakuita barabarani huyo ni BODABODAMind you ana no yako na hata unapoishi anapajua.
Pole mkuu[emoji23]
Washawahi kukufukua ?Wafukua Mitaro hao,wengi wanatabia za kipuuzi ,kama SI wafiraji basi ni mapunga
dah! Man umenivunja mbavu dahYaani mtu ana namba yako na bado anakutana na wewe njiani hajui unaenda wapi anaomba mkae sehemu muongee muda huo huo???
Huyo atakuwa alishikwa na nyege vibaya basi yupo njiani anaangaza angaza aone nani ataokoa jahazi.
Kwani mkanda sh ngapi mkuu?Sema hupendi mtu mwenye muonekano wa kimaskini
[emoji23] oya sister embu jishikilie utuacheUnakutana na mwanaume wa Dar njiani. Upo zako hai hai kufanya mambo yako ya maana, anakusimamisha dada salamu ehee naomba dakika 10 tukae mahali tuongee.
Mind you ana no yako na hata unapoishi anapajua. Hapo ukimzoom mkanda aliovaa na viatu na saa unajua tu huyu ana deni songesha na mpawa.
Niwashauri wanaume wa Dar maana mkoani ni wastaarabu wanaomba appointment kabisa siku fulani dada naweza kupata muda niongee na wewe? Au lini utanipa muda.
Nyie wa Dar unakutana na mtu umsimamishe unajua mtu ana shughuli gani? Kwanza kama anakoenda kachelewa je?
nyezgez za ghafla tu..Yaani mtu ana namba yako na bado anakutana na wewe njiani hajui unaenda wapi anaomba mkae sehemu muongee muda huo huo???
Huyo atakuwa alishikwa na nyege vibaya basi yupo njiani anaangaza angaza aone nani ataokoa jahazi.
ungemuonea huruma kwanza hata mdanganya tu mkuunilimpa kistaarabu namba yangu na hata alipokuja mbali sana nilimwambia acha yaani you are too forward, unaniambia unanipenda unataka nikujibu nini na si feel chochote kwako ndio hivyo nafika home eti umefika mke wangu looooh nikablock maana kunisikiliza hakutaka kabisa