Wanaume wa Dar es Salaam hawajitambui

Wanaume wa Dar es Salaam hawajitambui

Yaani mtu ana namba yako na bado anakutana na wewe njiani hajui unaenda wapi anaomba mkae sehemu muongee muda huo huo???

Huyo atakuwa alishikwa na nyege vibaya basi yupo njiani anaangaza angaza aone nani ataokoa jahazi.
Huenda wewe ni rebound hakua na malengo ya kutoka nawe mkeka wake umechanika so akaamua asirudi nyumbani kinyonge.

Kwani mna jema nyie unaweza panga mtu wiki nzima ila akachomoa muda wa tukio.
 
Unakutana na mwanaume wa dar njiani. Upo zako hai hai kufanya mambo yako ya maana.anakusimamisha dada salamu ehee naomba dakika 10 tukae mahali tuongee.mind you ana no yako na hata unapoishi anapajua.
Hapo ukimzoom mkanda aliovaa na viatu na saa unajua tu huyu ana deni songesha na mpawa.
Niwashauri wanaume wa dar maana mkoani ni wastaarabu wanaomba appointment kabisa siku flani dada naweza kupata muda niongee na wewe?? Au lini utanipa muda.
Nyie wa dar unakutana na mtu umsimamishe unajua mtu ana shughuli gani?? Kwanza kama anakoenda kachelewa je??
yaani umekutana na bodaboda mmoja basi unahukumu wote. au nawe ni walewale tu chuma chakavu
 
Back
Top Bottom