Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,122
- 52,864
- Thread starter
- #81
Unawajua bodaboda wewe??Acha kudeal na maboda boda, magentlemen wapo wengi tuu.
Unawajua bodaboda wewe??Acha kudeal na maboda boda, magentlemen wapo wengi tuu.
Anapika ugali wenye janaba tupu.hyo k ya plastic au??Wapo kipenzi wengi sana. Uswahilini kwetu huko mtu anaenda dukani kununua unga kaacha maji ya ugali jikoni na anarudi ameshagegedwa amepewa zake buku 10.
Ndio nawajua maana ndio huwa wanaongoza kusemesha watu barabarani.Unawajua bodaboda wewe??
Leo kaona mkanda mbaya ila kipindi anamgea namba hakuona mkanda kuwa mbaya.Labda jamaa wakati anapewa namba alikua njema,ila siku hizi kapigika na hatakiwi tena.
😀 😀
Ahahahh Ujakosea mkuuMiss natafuta umejipata sasaa 😁😁
Ndo nyie huwa mnawaambia vijana "you are not my type" 😁
Kwani ukinunua mkanda wa maana utapungukiwa nini?? Mkanda wa buku 5 wa masai unavaa mwaka mzima? Me utanipeleka wapi sasa wewe pa kwenda tu hujui?? MtuacheKwani siku uliyompa namba alikua kavaaje mpaka ukashawishika na kumpa namba?
Tuma picha usiwe wa.masai wa buku 3Nimenunua mkanda mpya na viatu
Naweza kupata dk 10 tuongee mama?
Mkopeshe hiyo pesaNunua gari uwe unawapita huku umekaa umejifungia kioo na kipupwe kwa mbali
Mko vizuri.mna mwanga wa maishaKila kitu wanaume wa dar mbona.tukija uko mikoan mnatushobokea sans
Nilitaka kushangaa mtu wa kahama bila kuchangia hapaHii vita ni ngumu sana...🤣
Lakini naunga mkono hoja kwa mikono miwili...🤝
Hela ya chupi yako tu huna mimi utanisaidia nini sasa?? Ndo mtuache na.maisha yetu[emoji23] [emoji23] boxer ya buku 12 ya kazi gani wakati mwanaume anaweza dunda town bila chupi na akaenjoy siku yake.
Kumbe unatupendaMko vizuri.mna mwanga wa maisha
Mwanamke hakopeshwi malipo atataka akupee mbususuMkopeshe hiyo pesa
Muonge ilo gari basiMwanamke hakopeshwi malipo atataka akupee mbususu
Mkuu wauzie kabisa.hivi mwanaume unashindwaje kuvaa mkanda wa maana.mkanda umebabuka babuka kama nyoka mzee.kwani mkanda sh ngapi.bia mnakunywa kila sikuNimeshaona fursa hapa,, mje mnunue mikanda nauza The Icebreaker Mwachiluwi Kambi ya Fisi Pendaelli Ambivert88 [emoji18][emoji18],, bei sawa na bure[emoji2]
Poa ila kadi ya gari nabaki nayo 😊Muonge ilo gari basi
Ahhaah baadirisha jina kabisaPoa ila kadi ya gari nabaki nayo 😊
Unamaanisha?usiwe wa.masai wa buku 3