Wanaume wa Dar es Salaam hawajitambui

Wanaume wa Dar es Salaam hawajitambui

Unakutana na mwanaume wa dar njiani. Upo zako hai hai kufanya mambo yako ya maana.anakusimamisha dada salamu ehee naomba dakika 10 tukae mahali tuongee.mind you ana no yako na hata unapoishi anapajua.
Hapo ukimzoom mkanda aliovaa na viatu na saa unajua tu huyu ana deni songesha na mpawa.
Niwashauri wanaume wa dar maana mkoani ni wastaarabu wanaomba appointment kabisa siku flani dada naweza kupata muda niongee na wewe?? Au lini utanipa muda.
Nyie wa dar unakutana na mtu umsimamishe unajua mtu ana shughuli gani?? Kwanza kama anakoenda kachelewa je??
USHAURI: punguza ama acha kabisa kukaa karibu vijana wa betting... wavaa vibegi mgongoni
 
Mkuu wauzie kabisa.hivi mwanaume unashindwaje kuvaa mkanda wa maana.mkanda umebabuka babuka kama nyoka mzee.kwani mkanda sh ngapi.bia mnakunywa kila siku
Ndo hapo sasa,,, waje tu wanunue ipo ya kila aina na kila bei washindwe wao tu😂😂
 
sisi wanaume wa Madongo kuporomoka huku Matombo hii haituhusu...
 
Unakutana na mwanaume wa dar njiani. Upo zako hai hai kufanya mambo yako ya maana.anakusimamisha dada salamu ehee naomba dakika 10 tukae mahali tuongee.mind you ana no yako na hata unapoishi anapajua.
Hapo ukimzoom mkanda aliovaa na viatu na saa unajua tu huyu ana deni songesha na mpawa.
Niwashauri wanaume wa dar maana mkoani ni wastaarabu wanaomba appointment kabisa siku flani dada naweza kupata muda niongee na wewe?? Au lini utanipa muda.
Nyie wa dar unakutana na mtu umsimamishe unajua mtu ana shughuli gani?? Kwanza kama anakoenda kachelewa je??
Wambie muda wote wanaona mbususu za bure bure
 
Itakua ww Kuna namna unajiposition kiasi kwamba upo accessed na yeyote, kama sio hvo Kuna muhuni kauza file lako beki hazikabi mda wowote unaelekea qibla
 
Back
Top Bottom