Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,094
- 62,025
Tunawasimamisha kwa sababu mpo wengi
Iwe na majira pia isiwe mradi saa, saa nne inasema saa kumiNa saa mkuu hata kama haona brand ikae tu na mvuto
Tushangae wote ndugu yangu, wao kwao kipaombele ni taswira na mwonekano tuAliyekuambia kuwa wanaume wasiovaa chupi hawana hela alikudanganya.
Kuna wananaume wanavaa chupi za bei mbaya ila hawana hela, je hao ndio unawashobokeaga ?
Ngoja kila mtu afaidi kwa namna yake mkuu.Bei baba Bei nyamachoma ya tandale kwa tumbo sio sawa na nyamachoma ya KFC au pale MCity, Miss Natafuta amepigwa na vumbi uso umepauka kakutana na mtu anaefanana nae kamuelewa kwamba huyu Mimi nammudu analeta malalamiko na mikogo kibao
😀😀[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Amani Itawale...
Hata ukitaka vya kuanzia 150k na kuendelea unapata...wewe tu na hela yako🤗Hadi na kiatu cha 35 mpaka 50?
Kabisa.mkuu wewe mjanja.Iwe na majira pia isiwe mradi saa, saa nne inasema saa kumi
Wa faster kihivyo huwa hawakumbuki zana wengi wao sembuse kupimaCondom ya nini ? Mwanamke anaetumia condom hajitambui
Siku hizi hakikisha unapima mkuu.tena sio dispe uchwara.kipimo 50k.
Mtuuwe basi..Unakutana na mwanaume wa Dar njiani. Upo zako hai hai kufanya mambo yako ya maana, anakusimamisha dada salamu ehee naomba dakika 10 tukae mahali tuongee.
Mind you ana no yako na hata unapoishi anapajua. Hapo ukimzoom mkanda aliovaa na viatu na saa unajua tu huyu ana deni songesha na mpawa.
Niwashauri wanaume wa Dar maana mkoani ni wastaarabu wanaomba appointment kabisa siku flani dada naweza kupata muda niongee na wewe? Au lini utanipa muda.
Nyie wa Dar unakutana na mtu umsimamishe unajua mtu ana shughuli gani? Kwanza kama anakoenda kachelewa je?
Kwa hio kavu kavu unalika?Condom ya nini ? Mwanamke anaetumia condom hajitambui
Siku hizi hakikisha unapima mkuu.tena sio dispe uchwara.kipimo 50k.
Ndo ujue kuna watu kuwagegeda sio rahisi.Wa faster kihivyo huwa hawakumbuki zana wengi wao sembuse kupima
IIa wewe kugegedwa rahisi tu ndio maana jamaa kakupimia akaona akupige mistariNdo ujue kuna watu kuwagegeda sio rahisi.
wewe uko kwenye wanaojielewa mzee wanguMtuuwe basi..
Mubaki na wa mikoani
🤓🤓🤓🙌🙌🙌🙌🙌
Tumechoka yaani kila siku jipya khaaa
Sawa sawa kijana nafurahi kusikia hivowewe uko kwenye wanaojielewa mzee wangu
🤣🙌Kumbe mkanda una umuhimu kiasi hicho aisee! yani unaweza kukosa demu kisa mkanda!
😀 😀
Tia neno nikusome.